Hii ni sababu inayomfanya Neymar kuzuia uhamisho wa Pedro kujiunga Man United
Baada ya kuwa kuna kila dalili ya uhamisho wa Pedro Rodriguez kujiunga na klabu ya Manchester United kukamilika akitokea FC Barcelona ya Hispania, Neymar ameomba mpango huo usitishwe kwa sasa…
Haya ndio majibu ya Petit Man kwa Soudy Brown kuhusu tetesi ndoa yake na Esma kuvunjika… #Uheard (Audio)
Kwenye mtandao wa kijamii wa @Instagram kulikuwepo na uvumi kuwa ndoa ya dada wa Diamond, aitwaye Esma na Petit ipo kwenye ugomvi baina ya wawili hao. Leo Soudy Brown kaamua…
Janet Jackson alishawahi kugoma kufanya scene ya movie na 2Pac! Sababu ilikuwa hii hapa. (Audio)
Nimekutana na interview moja aliyofanya kaka yake Tupac Shakur, Mapreme Shakur siku chache zilizopita na moja ya vitu alivyoulizwa kwenye interview hiyo ni kama ni kweli Janet Jackson alikataa kufanya…
Licha ya kipigo cha goli 2-0 Hizi ni kauli za Wenger kuhusu kusajili
Kocha wa klabu ya Arsenal ya Uingereza Arsene Wenger ambae anafahamika kwa kutofanya manunuzi ya wachezaji kwa gharama ya juu, hadi sasa hajafanya usajili wowote mkubwa wakuongeza nguvu kikosi chake.…
Arsene Wenger akabidhiwa fedha za kumsajili nyota huyu.
Bodi ya wakurugenzi ndani ya klabu ya Arsenal imeidhinisha mpango wa kocha wao wa kutumia kitita cha fedha ambacho kitaweka rekodi ya usajili nchini England lengo likiwa kumsajili mshambuliaji nyota…
Stori ya Jose Chameleone kuwahusisha D’Banj na 2 Face kwenye hii!
Kutoka makao makuu ya dstv.com nimekutana na hii ya staa wa Uganda Jose Chameleone ambaye kwenye hii kauli yake kubwa amewataja mastaa wa Afrika ambao ni D'Banj na 2 Face…
Vita ilichangia Rais Museveni kutoijua Timu ya Taifa ya Uganda? Majibu yake ni haya…
Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni alikuwa kwenye ziara zake kikazi Wilaya ya Wakiso, Uganda... katika vitu vilivyofanya akaweka headlines zaidi ni pale ambapo alikiri kwamba hakuwa anaijua Timu ya…
List ya mastaa waliopewa tuzo Dar Live, collabo ya Ali Kiba na Davido Je? pia Chemical kasikika…#255(Audio)
Kwenye Stori kali zilizosikika leo kwenye 255 ya Clouds ni pamoja na maneno ya hitmaker wa 'Sielewi' kudai sababu ya kumshirikisha Soprano badala ya mtu wa kwanza aliyepanga kufanya naye…
Hekaheka ilianzia bibi harusi aliposhtukiwa kuwa na watoto wanne, leo inaendelea hivi… (Audio)
HekaHeka ya leo inamuhusu kijana Abbas ambaye alishawahi kusikika kwenye Hekaheka pia siku za nyuma, ishu ilikuwa ya jamaa kuamua kuachana na mwanamke siku ya ndoa baada ya kufikiwa na…
Lowassa amepokelewa hivi Makao Makuu ya CUF Buguruni, safari imeanza kwenda NEC… (+Pichaz)
Kwa kauli moja Vyama vinavyounda Umoja wa UKAWA vilithibitisha kuyapitisha majina matatu kwenye safari ya Kugombea Urais TZ Bara pamoja na Z’bar… majina hayo ni Waziri Mkuu wa zamani,…