Wajue na hawa mastaa wa Tennis wenye utajiri mkubwa zaidi duniani…(Pichaz)
Ukiachia soka, mchezo wa ngumi na tennis nayo pia iko kwenye list ya kupendwa zaidi na watu hasa kwa nchi za Magharibi. Kwa upande wa mchezo wa Tennis nao umejizolea…
Polisi kamsimamisha jamaa akamkuta na kosa akasema pesa ndio tatizo…. maamuzi haya ya Polisi yakafatia
Ni kawaida kwenye mataifa karibu yote duniani, unapokamatwa na Polisi ukakutwa na kosa ni aidha ulipie faini, akusamehe, ujirekebishe ulichofanya au wengine uwape hongo ya kuwapooza ili akuachie ukafanyie kazi…
Mtangazaji alivyovamiwa na kuuawa ndani ya Studio ya Radio Brazil… (+Video)
Hili ni tukio ambalo limechukua sana headlines mitandaoni na kwenye Vyombo vya Habari vikubwa vya Kimataifa Duniani, mtangazaji kavamiwa akiwa anarekodi show yake kwenye Kituo cha Radio Brazil !! Kinachoibua…
Ni kweli Nicki Minaj ana ujauzito wa Meek Mill ama anatania tu?!
Nicki Minaj ameweka headlines kwenye kurasa za burudani kwa siku tatu mfululizo baada ya kutangaza kuwa ana ujauzito wa superstaa boyfriend wake Meek Mill, taarifa ambayo imewaweka mashabiki wengi roho…
CCM ni hodari wa kuiba kura?, SLAA, MNYIKA kufungua pazia la kampeni, hofu ya LIPUMBA kwa LOWASSA…#StoriKubwa
MWANANCHI Mgombea wa urais kupitia Chadema, Edward Lowassa ameituhumu CCM kuwa ni hodari wa kuiba kura hivyo akawataka wananchi wajitokeze kwa wingi kupiga kura ili hata sehemu ya kura hizo…
Polisi wametoa tamko hili kuhusu Maandamano ya Lowasa Aug 10
Muda mfupi uliopita kupitia kituo cha ITV kwenye taarifa ambazo zimetolewa na kituo hicho zinasema kuwa Jeshi la Polisi Tanzania limekataza Maandamano ya Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowasa wakati akienda kuchukua fomu…
Lowassa na NEC.. Lipumba kuondoka CUF? ni CCM ‘A’ na CCM ‘B’? Kimbisa kagoma CCM? >Stori Kubwa (Audio)
Uchambuzi wa magazeti redioni umekupita? Nimefanya jitihada ya kukusogezea zile zote kubwa kubwa zilizoweka vichwa vya habari kwenye magazeti August 10 2015 zikiwemo na hizi !! Joto la uteuzi wa…
Magazeti ya Tanzania Agosti 10, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatatu Agosti 10,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo…
Babu wa Loliondo kaongea… tarajia hili kutoka kwake time hii!
Ambilikile Mwasapila maarufu kama Babu wa Loliondo ndio mmiliki wa hii post kwa leo, babu aliyejipatia umaarufu kwa kutoa dawa kwenye kikombe ambayo wengine walidai kupona magonjwa mbalimbali na wengine…
Bongo movie vs viongozi wa Simba SC, watazame kina JB kwenye hiki kipisi cha video
August 8 2015 ilikua ni Simba Day ndani ya jiji la Dar es salaam ambapo kulikua na matukio mengi ya kuikamilisha hii siku kubwa kwenye club ya soka ya Tanzania…