Ciara nyuma ya camera alivyozitengeneza video za ‘I bet’ na ‘Dance Like We’re Making Love’
Anaitwa Ciara Princess Harris staa mwenye hits kibao kwenye chati ya muziki ndani ya hii dunia..... ambae sasa amerudi na mfululizo wa hits ikiwemo hii ya 'Dance Like We're Making…
Kama unajenga ofisi na pesa inaruhusu… tazama hizi picha labda utapata idea!
Ofisi au kijiwe chako cha kujikusanyia kipato kinatakiwa kuwa rafiki yako, yaani kiwe na mazingira ambayo unayakubali na ya kirafiki zaidi hata kwa mgeni au mteja wako. Ukiangalia wenzetu wamekua…
Ash Hamman mkali wa Dubai ataezishukia Radio na TV za Tanzania !!
Ni mkali ambaye Watanzania waliohudhuria kwenye tamasha la Fiesta 2014 Dar es salaam walipata nafasi ya kumuona akionyesha uwezo wake kwenye stage Leaders Club ambapo mpaka wakati huo tayari alikua…
Mambo matano ya Jerry Silaa uliyoyakosa wiki hii.
1. Jumamosi ya 1/8/2015 baadhi ya mitandao na Magazeti kuliripotiwa kwamba Jerry Silaa ameshindwa kwenye kura za maoni jimbo la Ukonga lakini saa kadhaa baadae Mkurugenzi wa uchaguzi alitangaza Silaa…
Full time ya Liverpool VS Stoke City imeisha hivi… (+Video)
Vilabu vya Liverpool na Stoke City jioni ya leo vimefunga jalada la mechi ya Barclays Premier League katika siku ya Jumapili August 09 2015 kwa mchezo mkali kati ya Vigogo…
Kilichowakuta Arsenal dhidi ya West Ham hiki hapa… Newcastle United VS Southampton je? (+Video)
Ligi kuu ya Uingereza Baclays Premier imeendelea Jumapili August 09 2015 kwa mchezo uliowakutanisha mahasimu wa mji wa London, Arsenal dhidi ya wagonga nyundo wa West Ham United. Mchezo huo umemalizika kwa…
Pichaz: Ali Kiba alivyofunga bonanza la soka mashabiki wake Kigamboni
Wiki kadhaa ya baada ya kuwatembelea mashabiki zake katika namna ya kupanda kwenye madaladala, staa wa muziki wa kizazi kipya Alikiba leo amefunga bonanza la soka liloandaliwa na vijana wa…
Kumbe Floyd Mayweather hana habari na pesa za benki?
Utajiri wa staa wa ngumi duniani Floyd Mayweather bado umeendelea kuwa gumzo duniani. Ukiachilia utajiri wa fedha nyingi alizonazo benki, Mayweather amekua akitunza kiasi kikubwa cha fedha nyumbani kwake ili…
Hizi ni Sababu za Mourinho kumlaumu Doctor wa Chelsea baada ya sare 2-2- dhidi ya Swansea
Baada ya kutoka sare ya goli 2-2 dhidi ya Swansea City katika mechi ya kwanza ya ufunguzi wa Ligi Kuu Uingereza, kocha wa Chelsea Jose Mourinho baada ya matokeo hayo…
List ya nyimbo 20 za CloudsFM Top20 Agosti 9 2015
Kila Jumapili kuanzia saa tano asubuhi mpaka saa saba mchana huwa countdown ya nyimbo 20 bora inafanyika kwenye CloudsFM Top 20 ambapo list ya June 28, 2015 ni hii hapa…