Kwenye stori kubwa >>> Marufuku kutoa Kadi ya Kupigiakura? Sophia Simba na Lowassa.. Uvamizi Polisi?
MWANANCHI Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imeonya kwamba mtu yoyote haruhusiwi kutoa kadi yake ya kupigakura au taarifa za kadi hiyo kwa ndugu, jamaa au mwajiri wake. NEC imetoa…
Mabibi na Mabwana, mnakaribishwa kuenjoy tena muziki mzuri- Abdul Kiba Feat. Ruby #Ayayaa (Video)
Singo hii ni moja kati ya singo zilizoingia kwenye headlines ya misukosuko kutoka kwa Abdul Kiba kwa sababu wakati akijiandaa kwenda kupiga picha na kushoot video hii, walivamiwa na majambazi nyumbani…
Upande mwingine wa Shamsa Ford,kaamua kutueleza haya leo…
Katika maisha ya kawaida ya Binadamu yoyote kuna vitu unaweza kuviona moja kwa moja hata unapoishi nae lakini kuna vingine ni mpaka akueleze mwenyewe,Leo Shamsa Ford kutoka kiwanda cha Filamu…
Magazeti ya Tanzania Agosti 8, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumamosi Agosti 8,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo…
Maamuzi mengine ya Jose Mourinho Chelsea
Kocha wa klabu ya Chelsea iliyopo London Magharibi Jose Mourinho huwa ni kivutio kikubwa katika Ligi Kuu Uingereza lakini pia ni rafiki wa karibu na page za magazeti ya Uingereza,…
Professor Jay kapita kura za maoni Ubunge huu hapa
Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa mkongwe wa Hip Hop Joseph Haule aka Professor Jay ambaye wiki zilizopita alishinda kura za maoni kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo katika…
Musa Hassan Mgosi alivyokutana na nyama ya nyani Congo
Mshambuliaji wa muda mrefu katika klabu ya Simba Musa Hassan Mgosi August 7 amefunguka kuhusiana na maisha ya Congo namna watu wanavyoishi, Mgosi ambae aliondoka Simba mwaka 2011 na kuelekea…
Hiki ndicho kipaji kingine cha Haruna Niyonzima wa Yanga
Kiungo wa kimataifa wa Rwanda anaekipa katika klabu ya Dar Es Salaam Young African (Yanga) Haruna Niyonzima August 7 amezungumza na team ya millardayo.com kitu gani kingine ambacho anaweza kufanya…
Chege na Nonini wamekutanishwa tena na hii….#GoodMusic
Kwenye zile stori za City to City,Nation to Nation nimekutana na hii kutoka kwa Chege Chigunda ambaye wiki 3 zilizopita nilikutana nae South Africa na alikua ameenda kufanya kazi na mmoja wa…
Ni Rais JK kwenye dance na Vanessa Mdee, Wema Sepetu alivyomtuza dola Magufuli.. (Video)
Ilikuwa burudani ya aina yake mtu wangu ndani ya Ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam August 06 2015 ambapo Wasanii zaidi ya 300 kutoka Kiwanda cha Bongo Movie na…