Ni Rais JK kwenye dance na Vanessa Mdee, Wema Sepetu alivyomtuza dola Magufuli.. (Video)
Ilikuwa burudani ya aina yake mtu wangu ndani ya Ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam August 06 2015 ambapo Wasanii zaidi ya 300 kutoka Kiwanda cha Bongo Movie na…
Full video ya Rais Kikwete alivyopita kupiga na selfies wasanii walivyomuaga Mlimani City Dar..
August 07 2015 tulizipata pichaz pamoja na story kutoka Ukumbi wa Mlimani City Dar es Salaam ambapo wasanii wa Muziki na Movie TZ kwa pamoja waliandaa party ya kumuaga Rais…
Dereva taxi mikononi mwa Mahakama kisa Ubaguzi.. Kagomea watu weusi wasipande gari..
Ubaguzini kitu ambacho kama ukikifanya alafu watu wakajua hivyo hakuna mtu atakuchukulia poa hata kidogo... imetokea mfululizo Marekani, Wamarekani weusi wameuawa na Maofisa Usalama na watu wakaingia Mtaani kulaani kwa…
Vipi Arsenal itamsajili Karim Benzema? Wenger kajibu hapa
Mshambuliaji wa kati wa klabu ya Real Madrid ya Hispania Karim Benzema ambaye amekuwa akihusishwa na uhamisho wa dau kubwa wa kwenda katika klabu ya Arsenal, kitu kilichopelekea hata mshambuliaji wa…
Baba Levo na safari ya Udiwani wake Kigoma imefikia hapa..
2015 Historia inaandikwa Tanzania kwenye Siasa, Vijana wengi wamehimizwa kuingia kwenye Kugombea nafasi mbalimbali za Uongozi na wameitumia vizuri nafasi hiyo... Wasanii wako kwenye headlines, wapo waliofanikiwa kupenya kwenye hatua…
Ishu ya namba ya Mr.Blue kutumika kwenye utapeli imemfikia Soudy Brown..#Uheard (Audio)
Jana Mamlaka ya mawasialiano TCRA iliandaa mafunzo kwa ajili ya wasanii kuhusu kufanyiwa utapeli kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, wasanii wachache tu ndio walioweza kuhudhuria. Loe kuna stori imemfikia Soudy…
Ahadi ya JK kwa wasanii, kinachomkera Khadija Kopa na wasanii kwenye semina ya TCRA..#255 (Audio)
Jana kulikua na matukio mawili makubwa katika tasnia ya Burudani, kwanza TCRA iliwaalika wasanii mbalimbali kwenye semina na pili wasanii walimualika JK ili kumuaga. Kwenye 255 leo Afisa uhusiano wa…
50 Cent kwenye headlines tena, anataka kuwa ‘baba mwenye nyumba’? Ishu ni hii…
Msanii wa hip hop Marekani 50 Cent amekuwa akiingia kwenye headlines mbalimbali mara baada ya kutangaza kuwa amefilisika. Headlines juu yake zinazidi kukua kila siku na safari hii headlines zinazomhusu 50…
HekaHeka iliyomkuta Badi Bakule alivyoigiza ndani ya jeneza…(Audio)
HekaHeka ya leo inamuhusu mwanamuziki Badi Bakule ambaye amezungumzia kuhusu changamoto za kuigiza akiwa ndani ya jeneza, anasema jambo hilo lilikuwa zito na kwa sasa hawezi kurudia kitu kama hicho. Anasema…
Majina ya Wasanii wa Tanzania kwenye picha ya Rais Jakaya Kikwete……
Muungano wa wasanii Tanzania August 06 walikutana na Rais Jakaya Kikwete pamoja na Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) Dkt John Magufuli kwa ajili ya chakula cha usiku pamoja…