Video ya Maalim Seif kuhusu Lowassa, UKAWA na uchaguzi mkuu 2015
Ni maneno ya kiongozi wa C.U.F katibu mkuu Maalim Seif Sharrif Hamad kuhusu ishu nyingi za uchaguzi mkuu wa Tanzania unaohusisha Ubunge na Urais ambapo unatarajiwa kufanyika October 2015. https://www.youtube.com/watch?v=2bjJJhuJIm0…
#GoodNews Mtoto wa Diamond Platnumz na Zari amezaliwa !
Staa wa Bongo Fleva ambaye jina lake limebeba uzito mkubwa Afrika, Diamond Platnumz anayo furaha kushare na sisi hii good news... Post yake Instagram inasomeka hivi >>> 'My mom's face…
Breaking News: Profesa Lipumba kashindwa kuvumilia, haya ndio maamuzi yake magumu
Kumekuwa na stori nyingi ambazo zimeandikwa sana Magazetini kuhusu Umoja wa Vyama vya UKAWA, baada ya Mbunge wa Monduli kukaribishwa CHADEMA na UKAWA stori nyingine zikaanza kuchukua headlines kuhusu baadhi…
The Game kwenye headlines ashitakiwa tena, time hii kwa kosa hili hapa…
Msanii wa Hiphop Marekani The Game anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani baada ya kushitakiwa kwa kumdhalilisha mwanadada Priscilla Rainey kwenye reality show yake ya "She's Got Game". Mwanadada huyo…
Kauli ya Dk.SLAA, BVR Dar wavuka lengo na kinachoendelea CUF…#StoriKubwa August 6
MWANANCHI Siku tatu baada ya Baraza Kuu la Chadema kuridhia kumpumzisha kwa muda Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa baada ya kutofautiana na Kamati Kuu kwa kumkaribisha waziri…
Mwigizaji anaelipwa zaidi duniani ni…? Orodha kamili hii hapa.
Wewe ni mpenzi wa movie? Kama wewe ni mpenzi wa movie za Kimarekani kama mimi basi utapenda kujua ni waigizaji gani wananolipwa pesa ndefu zaidi kwenye list ya Actors wa…
Headlines kwenye #StoriKUBWA>>> Lowassa, CCM.. Magufuli, kauli ya Dk. Slaa? Lipumba na CUF? (Audio)
Uchambuzi wa magazeti umekupita? Magazeti ya August 06 2015 tayari yako mtaani na vichwa vyake vikubwa vya habari, nimekusogezea Uchambuzi wa stori kubwakubwa. Dk. Wilbroad Slaa amesema yupo salama na…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania Agosti 6 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Agosti 6,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,…
Dr. Hamis Kigwangalla ameyaandika haya kuhusu Magufuli vs Lowassa.
Ni mbunge wa Nzega Dr. Hamisi Kigwangalla ambaye alikua miongoni mwa waliojitokeza kuchukua fomu za kuomba ridhaa ya CCM kuwania Urais wa Tanzania 2015. Leo August 5 2015 alitumia page…
Kama asingekuwa mwanasoka unajua Cannavaro angekuwa nani? Jibu lipo hapa
Kila binadamu anapokuwa mdogo huwa na malengo au ndoto yaani ni namna ambavyo angependa kuwa wakati atakapokuwa mkubwa. Kila mtu utakayebahatika kukutana naye atasema mimi nataka kuwa hivi na mwingine akasema…