Habari kumi kubwa za kwenye Top 10 ya AMPLIFAYA CloudsFM Agosti 5 2015
Kutana na #AMPLIFAYA ya CloudsFM Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku uwe unapewa habari zote kumi kubwa za siku kuanzia kwenye siasa, michezo, burudani, muziki, filamu na mengine ya…
Ni kweli Mourinho alikataa kupeana mikono na Wenger? Jibu lipo hapa
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho August 5 amerudi tena kwenye headlines baada ya kulizungumzia tukio la yeye kutopeana mkono na kocha wa Arsenal Arsene Wenger katika mchezo wa Ngao…
Huyu ndiye mbadala wa Kpah Sherman Yanga? Tayari kapokelewa, kinachofuatia?
Vilabu mbalimbali vinavyoshiriki Ligi Kuu soka Tanzania bara msimu huu vinazidi kujiimarisha kwa kufanya usajili wa mwisho kabla ya dirisha la usajili halijafungwa August 6, klabu ya Dar Es Salaam…
Furaha ya mjukuu ikakamilika baada ya kuona bibi nae kasimamia harusi yake …
Tumezoea kuona harusi nyingi wasichana ambao hufahamika zaidi kama wapambe au 'Maids' ndio hupewa jukumu la kusimama mbele na maharusi kwa lengo la kunogesha sherehe. Lakini hii iko tofauti, imenivutia kumwona…
Tayari Barcelona imemuongeza jamaa wa nne kwenye list ya manahodha wao..
Kiungo raia wa Argentina Javier Mascherano ameteuliwa kuwa nahodha wa nne kwenye klabu ya Barcelona akiongeza idadi ya manahodha ambayo ilikuwa imebakia manahodha watatu baada ya kuondoka kwa Xavi Hernandez.…
Aliambiwa hatokuja kupata mtoto, miaka 60 baadae stori ni hiki kilichokutwa tumboni !!
Nimekutana na stori moja kutoka mji mdogo wa La Boca ulioko Chile ambako mwanamke wa miaka 91 amekutwa na mtoto tumboni ambapo mtoto ujauzito huo kaubeba kwa zaidi miaka 60. Estela Melendez mwenye…
Mastaa wa soka na vioja vyao Uwanjani>>Balotelli, David Luiz na Ibrahimovic na wamo…
Wachezaji mpira ni miongoni mwa watu maarufu sana kutokana na kazi yao kupendwa au kuwa na mashabiki wengi kutoka sehemu mbalimbali, miongoni mwa vitu ambavyo huwezi kuvidhania kama unaweza kuviona…
Video ya sekunde 15 inayoonesha kilichomo ndani ya chumba cha mtoto ajaye wa Diamond na Zari…
Kwenye kuzi count zile siku ambazo Diamond Platnumz alizitamka kuwa tumtegemee kuitwa Baba leo kaamua kushare picha za chumba cha mtoto wao huyo wanaemtegemea yeye pamoja na Mpenzi wake Zari.…
Video nyingine ya hotuba ya Edward Lowassa na Freeman Mbowe!
Ni maneno ya mwanachama mpya wa CHADEMA Edward Lowassa pamoja na mwenyekiti Freeman Mbowe mbele ya wanachadema kwenye mkutano mkuu Dar es salaam Aug 4 2015. https://www.youtube.com/watch?v=uj1y7INOpjU PAPO KWA PAPO…
Ripoti kutoka Makao makuu ya CUF Dar es Salaam… (Pichaz)
Ripota wa millardayo.com amefika Ofisi za Chama cha CUF Buguruni Dar es Salaam ambapo Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba alipanga kuongea na Waandishi wa Habari August 05 2015. Kikao hicho…