Fashion Police wametaja mastaa wa soka wanaopendeza na wasiopendeza Messi, Ronaldo na Neymer wamo pia
Katika pita pita zangu mtandaoni nimekutana nayo hii ya mastaa wa soka wanaovaa vizuri na wasio vaa vizuri, yaani kwa maana nyingine ni kuwa wanaopendeza na wasiopendeza, kwa mujibu wa…
Kwenye zile za Instagram,Nimekuwekea hizi za Diamond na Zari wakifanya mazoezi….
Ukubwa na umaarufu wa mtandao wa kijamii wa Instagram unafanya tuyajue mambo mengine ambayo inawezekana kama usingekuwepo tungepata taabu sana kutambua au kufahamu kinachoendelea kwenye maisha ya mastaa wetu. Leo…
Sauti ya Nuh Mziwanda akiongea na Wema Sepetu imetengenezwa? mwenyewe kazungumza..#UHeard (Audio)
Baada ya ile sauti ya Nuh Mziwanda akidaiwa kuzungumza na Wema Sepetu kuvuja sana kwenye mitandao ya kijamii, leo Nuh amezungumza na kusema ni uvumi. Nuh amezungumza na Soudy Brown na…
Sababu ya Mayunga singo yake ya kwanza kutofanya na Akon
Leo Aug 04 Mkali wa Tanzania Mayunga ambaye alianza kuonekana kupitia mashindano ya Airtel Trace Music Star kaamua kuiwekea alama kwa kuachia rasmi audio ya wimbo wake ambao video ya…
Mapokezi ya Magufuli kuchukua Fomu na alivyosindikizwa mpaka ofisi za CCM
Agosti 4, 2015 ni siku ambayo mgombea wa nafasi ya Urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli tayari kafika kwenye ofisi za Tume ya Uchaguzi Tanzania kuchukua fomu za kuwania…
Hatma ya Pedro FC Barcelona ipo mikononi mwake, kauli ya Enrique ipo hapa
Kocha wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania Luis Enrique amezungumzia dhamira yake kuhusu mshambuliaji wake Pedro Rodriguez kutaka kuhama klabu hiyo. Enrique amezungumzia lengo lake ni angependa kuona Pedro anabakia FC Barcelona.…
Pichaz kuanzia nje mpaka ndani ya Ukumbi wa Mlimani City Dar kwenye Kikao cha CHADEMA July 04 2015
Headlines nyingine zilianza kuandikwa Tanzania kwenye Siasa 2015, ambapo July 28 2015 Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli alikaribishwa CHADEMA na kupewa Kadi za Uanachama yeye pamoja na…
Aliamua kuchukuwa maisha ya baba yake mzazi na mtoto wake kwa sababu hii…
Stori kutoka Marekani iliyonifikia muda sio mrefu inamhusu mwanadada Cheyanne Jessie 25, aliyeshitakiwa kwa kumuua mtoto wake wa miaka 6 kwa sababu alikuwa hataki mtoto huyo aingilie mapenzi yake na…
List ya wasanii wanaoingiza fedha nyingi..,Hemed na changamoto za kazi yake, Amini kabadili dini?..#255 (Audio)
Mtandao wa Ghafla.co.KE wa Kenya unaosimamia hatimiliki umetoa list ya wasanii 10 wanaoingiza mkwanja mrefu zaidi Kenya ambapo baadhi ya wasanii wa Bongo wamefanikiwa kuingia kwenye orodha hiyo.. namba moja…
Haya mengine ya kichanga kukutwa hai ndani ya shimo la choo yamenifikia!
Stori za kukuta watoto wametupwa chooni hazipo Africa tu bali hata kwa wenzetu pia. Nimekutana na hii moja kutoka Beijing China ambako polisi wameokoa mtoto mchanga aliyetupwa chooni siku chache…