Utapenda kuona matembezi aliofanya VeeMoney Johannesburg South Africa. (Pichaz)
Vanessa Mdee (Vee Money) ni msanii wa Bongo Fleva anaeipeperusha bendera ya Tz vizuri kwenye nchi mbalimbali za Kiafrika. Akiwa anatamba na single yake mpya ya Nobody But Me VeeMoney ni miongoni…
Video ya Christian Bella haipigwi nje, karidhika? Belle9 anajutia kujitoa mitandaoni? Kauli ya BASATA kwa Shilole… #255 July31
Unajua kwa nini Video ya 'Nashindwa' ya Christian Bella haipigwi nje? mwenyewe amesema kuna sehemu ambayo haikuwa inatakiwa ndani ya video yake hiyo ndio sababu inayochangia kutoonyeshwa..hakuona sababu ya kuibadilisha,…
Hawa ndio wakali wengine watano Ligi ya Uingereza wenye utajiri mkubwa zaidi, na pichaz zao…
Mastaa wa soka wana utajiri wao wa kutosha tu, unaambiwa kutokana na kazi nzuri wanayoifanya hata thamani yao inaongezeka vilevile, ukisikia staa wa soka kanunuliwa kwa pound. Mil 100 Uingereza…
Future anaisogeza kwako video wa wimbo wake: Kno The Meaning.
Ni furahiday mtu wangu na msanii wa Hip Hop kutoka Marekani Future anaziandika headlines na ujio wa ngoma yake mpya iitwayo Kno The Meaning inayopatikana kwenye album yake mpya DS2 album…
HekaHeka ya mwanamke aliyemgeuka rafiki yake na kuamua kutembea na mume wa rafiki yake…(Audio)
HekaHeka ya leo inatokea maeneo ya Mbeya kutoka kwa mmoja wa wapenzi na wasikilizaji wa Clouds FM aitwaye Pendo...anasema amepitia kwenye vitu vingi baada ya kupata rafiki ambaye walikutana akiwa…
Kilichonifikia kuhusu ishu ya Tudd Thomas kuvamiwa na kuibiwa usiku Mlimani City
Tayari imenifikia story inayohusu ya Producer wa muziki Tudd Thomas kuvamiwa usiku wa kuamkia July 31 2015... Post ya stori hii imewekwa pia kwenye ukurasa wa Instagram @cloudsfmtz kwamba jamaa kavamiwa na…
Cheki mastaa wapya wa Liverpool walivyoipania ligi kuu…(Pichaz)
Agosti 8 pazia la ligi kuu ya Engaland linafunguliwa rasmi. Klabu zote zimeonekana kujipanga vyema ili kukabiliana na mikiki ya ligi hiyo, lakini wachezaji wapya wa Liverpool Christian Benteke na…
Ngao ya Jamii Ligi Kuu England ni Chelsea Vs Arsenal Jumapili hii,wengine je?..
Kipenga cha kuanza kwa ligi kuu ya England msimu mpya kinatarajia kupulizwa jumapili hii wakati mabingwa Chelsea watakapovaana na Arsenal katika mchezo wa ngao ya jamii. Mchezo huo utapigwa katika…
Rais Obama hakubeba zawadi yoyote aliyopewa nyumbani kwao Kenya.. Sababu ni hii (+Pichaz)
Mgeni Rais Obama alivyoenda kwao Kenya, walijipanga na zawadi kibao ili mtu wao arudi nazo kwa ajili ya Kumbukumbu Marekani... alienjoy vingi Kenya ikiwemo dance ya nguvu na wakali wa…
NDUGAI alimpiga kada mwenzake?, Dk.Slaa ana hofu?, LOWASSA tena…#StoriKubwa July31
MWANANCHI Wabunge wawili waliohama CCM hivi karibuni, James Lembeli na Ester Bulaya wamepitishwa katika kura za maoni kuwania ubunge kupitia chama chao kipya. Wakati Lembeli akipitishwa kwa kura za kishindo…