Rasmi Arturo Vidal amejiunga na timu hii….
Baada ya kuwa na uvumi kwa muda mrefu kuhusiana na mchezaji wa kimataifa wa Chile Arturo Vidal anaekipiga katika klabu ya Juventus ya Italia kuhama, July 28 imekuwa ni mwisho…
Breaking News: Lowassa kathibitisha kujiunga na UKAWA
Ikiwa ni siku chache tangu Waziri mkuu mstaafu Edward Lowassa kuenguliwa jina lake katika mbio za kuwania Urais na kamati ya maadili CCM, kumekuwepo na sintofahamu juu ya hatma ya…
Sepp Blatter kampata mrithi wake kuiongoza FIFA..,
Wakati uchaguzi wa kumpata Rais mpya wa FIFA ukitarajiwa kufanyika februari mwakani, Rais wa shirikisho soka Ulaya (UEFA) Michel Platini kesho anatarajiwa kutangaza azma yake ya kuwania urais wa FIFA.…
Tundaman kamdhulumu dereva wa Bajaji? Imemfikia Soudy Brown hii …#UhearD JULY28
Soudy Brown katafutwa na jamaa ambaye anadai kwamba ana deni na staa wa Bongo Fleva, Tunda Man... Huyo jamaa anadai walikubaliana ampeleke na kumrudisha kutoka Changanyikeni mpaka Lamada wakati akiendelea…
Hii ni hukumu iliyotolewa leo JULAI 28 na mahakama ya Libya kwa mtoto wa Gaddafi …
Mahakama ya Libya leo imetoa hukumu kwa mtoto wa aliyekuwa rais wa taifa hilo Gaddafi, aitwaye Saif al Islam na wenzake nane kufuatia uhalifu wa kivita uliohusishwa na mapinduzi ya…
AyoTV ilivyowanasa Nikki Mbishi, Nikki wa II, Roma, Stamina, Kingzilla na wengine kwenye RAP FESTIVAL Dsm
Mchongo wa Rap Festival ulikamilishwa Weekend iliyopita Dar live Dar es salaam ambapo mastaa wa hiphop kama Roma, Stamina, Izzo B, Godzilla, Nikki Mbishi na Nikki wa II walionyesha uwezo…
Mr.Blue na Joh Makini wana bifu?, Bongo Fleva na Bongo Movie hawapendani? Pia Central Zone wamesikika..255 (Audio)
Kundi la Central Zone wameamua kuendelea na project ya kuchangia ujenzi wa maabara shule za Sekondari za Kata ambayo ilikuwa ni idea ya Betty Mkwasa...wamesema wamechagua maabara mbili zilizopo karibu…
Mourinho kwenye headlines tena na kauli hii
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amekuwa kwenye headlines kwa wiki kadhaa sasa kutokana na kauli anazozitoa, Mourinho ambaye ni mtaalamu wa kucheza mechi nje ya uwanja kwa kuzivuruga timu pinzani…
HekaHeka ya mwanamke asiye na kosa kuunguzwa na maji ya moto kisa wivu…(Audio)
HekaHeka ya leo inatokea hapa Dar es salaam baada ya dada mmoja kumuunguza mwenzake na maji ya moto ya ugali,,lakini aliyekuwa anamdhamiria kumbe si mwenyewe bali alikuwa shemeji wa mwanaume…
Hali ngumu ya uchumi ikamfanya Mbunge aoneshe nguo za ndani Bungeni!!
Unamkumbuka yule Mbunge wa Mwibara Kangi Lugola aliyeingia Bungeni na bidhaa za kichina huku akiilaumu Serikali kushindwa kutumia rasilimali zake na kutegemea bidhaa za nje?. Hii nyingine imetokea Zimbabwe na…