Kwenye zile story za China, iko na hii ya Kituo feki cha Polisi.. Kina kila kitu ila feki !!
Pata picha mtu anajiamini kabisa anaanzisha Kituo cha Polisi, anafanya kila kitu kama Polisi wanavyofanya.. kuna pingu, sare za Askari, Silaha... unaambiwa mpaka gari yake ina king'ora juu kama gari…
Dereva hakushtuka mpaka hili basi likaja kunasa hapa chini ya daraja Ufaransa… (Picha)
Kama kuna ajali ambazo zimewahi kunishtua ni hii hapa, kwanza najiuliza dereva hakuona au ilikuwaje mpaka hii basi ikanasa hapa! Ndani ya Basi kulikuwa na Wanafunzi 60 wa Kihispania, wametoka…
LOWASSA rasmi UKAWA, michango ya kampeni yaliza wagombea na mshahara wa JK wapingwa…#StoriKubwa JULY28
MWANANCHI Michango ya kampeni za kujinadi kwa wananchi katika majimbo mbalimbali nchini imelalamikiwa na baadhi ya wanachama wa CCM wanaowania kuteuliwa kugombea ubunge. Kutokana na ukali wa michango hiyo, baadhi…
Nicki Minaj na boyfriend Meek Mill ndani ya video moja ! all eyes on me..
Wiki chache zilizopita Meek Mill aliweka headlines kubwa na wimbo wake wa All Eyes on You aliomshirikisha girlfriend wake Nicki Minaj na RnB Superstar Chris Brown, wimbo ambao ulifanya vizuri…
Haya mengine mawili nayo yanawatofautisha Cristiano Ronaldo na Lionel Messi…
Upinzani kati ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo kuhusu nani ni bora zaidi ya mwenzake huwa ni mgumu kutoa jibu la moja kwa moja hata ukiwauliza mashabiki wa pande zote mbili,…
Lowassa kujiunga CHADEMA?, Mshahara wa Rais JK je? Prof. Jay na Ubunge Mikumi?
Magazeti ya Tanzania July 28 2015 na headlines zake kubwakubwa yako mtaani, hapa ninazo chache kwenye zile zilizobebwa leo na kuchambuliwa Redioni. Edward Lowassa rasmi UKAWA, muda wowote kutangazwa mgombea Urais…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania JULY28 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne July 28 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti…
Maneno ya James Mbatia alivyomkaribisha Edward Lowassa UKAWA… (Audio)
Headlines baada ya headlines kuhusu siasa Tanzania zina uzito mpya kila siku... Imeandikwa sana Magazetini kuhusu Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa kuhama CCM, kilichoteka headlines July 27 2015 kimeongezea uzito…
Hii ndio timu iliofanikiwa kunasa saini ya Drogba
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast Didier Drogba ambaye pia amewahi kuitumikia klabu ya Chelsea ya Uingereza kwa miaka kadhaa sasa ameamua kuendeleza maisha yake ya soka Canada na ataanza…
Wanafunzi 695 ndani ya choo kimoja, Walimu 16 hawajapata makazi bado?
Kiukweli Tanzania tunajitahidi sana kwa kuwekeza kwenye elimu na kuhakikisha watoto wetu wanafikia malengo katika maisha yao Lakini ziko baadhi ya shule haswa zilizopo Vijijini bado zinahitaji nguvu za…