Mbunge Edward Lowassa kakaribishwa UKAWA, amejiunga nao? Majibu ni haya kwa Mbatia… (Audio)
"Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje" >>>> Hii ni moja ya sentensi ambazo Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliziongea Arusha May 30…
Kesi ya Lil Wayne na Birdman vipi? Ni kweli Birdman hakuhusika kabisa..?
Ni mwezi mmoja umepita toka Lil Wayne na Birdman waziandike headlines baada ya ugomvi wao kuwa mkubwa kufikia Birdman kulipiga risasi Tour bus la Lil Wayne ili kumuua. Polisi wanasema…
Hii ndio sababu iliyofanya Mbunge Andrew Chenge hajafika leo kuhojiwa na Kamati ya Maadili Dar…
Ni zaidi ya miezi saba imepita toka Bunge litoe mapendekezo kwamba wahusika wote wa ishu ya ESCROW wawajibishwe, kazi ikaanza kwenye Kamati ya Maadili ambapo Viongozi mbalimbali walianza kuhojiwa ikiwemo…
Umeisikia mipango ya Irene Uwoya kwenye Ubunge 2015? Msikilize hapa… #Uheard (Audio)
Tuna List kubwa ya mastaa Tz ambao wamejitokea kutangaza nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao utakaofanyika Oktoba. Leo Soudy Brown amepiga stori na Irene Uwoya…
Hii ndio Miji 10 ya hatari zaidi duniani, Afrika iko miji 4 nayo ni…?
Vitendo vya Ugaidi ni miongoni mwa stori zinazoshika na kuweka headlines kubwa sana duniani, na kwa sehemu nyingi za dunia vitendo hivi sio vya mchezo kabisa. Kutokana na ukuaji mkubwa…
Sauti Sol walivyokutana na Obama, Collabo ya AKA na Joh Makini vipi? Jokate kazungumzia ushindi wake…#255 (Audio)
Wikiend iliyopita kundi la Sauti Sol walimake headlines duniani baada ya kuweza kumchezesha Rais Obama wimbo wa 'Sura Yako' wakati alipokuwa kwenye ziara Kenya...Leo Meneja wa kundi hilo amesema Rais Kenyatta…
Good News kwa Manchester United na kipa huyu kutoka Argentina….
Wakati klabu mbali zikiendelea na zoezi la kuandaa timu zao kwa ajili ya msimu mpya wa ligi kuu, tayari Manchester United imemsainisha kipa wa Argentina, Sergio Romero kwa mkataba wa…
HekaHeka ya mwanamke kupigwa na mumewe kisa foleni ya BVR…(Audio)
Wakati zoezi la uandikishaji kwa njia ya BVR likiendelea Dar es salaam...bado kuna maeneo ambayo vurugu za uandikishaji zimeendelea kutokana na vituo kuzidiwa watu. Hekaheka ya Leo inatokea maeneo ya…
Airtel Fursa imetusogezea good news nyingine July 27 2015, bahati imemfikia na mkulima.. (Video)
Mtandao wa Airtel uko na watu wake kila wakati, na kwa sababu kinachofanyika ni kitu kizuri basi na mimi naona kikinifikia nikisogeze na wewe ukipate pia... Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la…
Ni Diamond na Zari kwenye muonekano mwingine… (Pichaz)
Hizi pichaz zimechukua headlines sana Instagram, zinamwonesha Diamond Platnumz akiwa na mpenzi wake, Zari the Bosslady. Zari ana ujauzito na huenda time yoyote tukafikiwa na good news ya kujifungua kwake.…