Video fupi ikimuonyesha Rais Obama akicheza wimbo wa Sauti Sol Kenya.
Sauti Sol ni kundi maarufu la muziki kutokea nchini Kenya ambalo limefanikiwa kuvuka hata mipaka na kuteka kwenye nchi jirani kama Tanzania, Rwanda, Burundi na nchi nyingine za Afrika mpaka…
Ushindi huu waipeleka Azam FC Robo fainali Kombe la Kagame 2015
Klabu ya Azam FC imezidi kufanya vizuri katika michuano ya Kombe la Kagame ambalo linaendelea Dar es Salaam...Azam FC amabayo ilianza kufanya vizuri katika mashindano hayo toka mechi ya kwanza…
Cristiano Ronaldo ni kila kona yeye na mtoto wake, mama yake atafahamika? Haya hapa mengine kama yalikupita..
Cristiano Ronaldo ni mshambuliaji wa kimataifa wa Ureno anayeichezea Real Madrid ya Hispania, mara nyingi akiwa anakula good times zake utaona jamaa yuko na mtoto wake Cristiano Ronaldo Junior na huwa…
Unaukumbuka Ushindi wa Arsenal wakapewa na Kombe la dhahabu? Cheki pichaz+video ilivyokuwa..
Nimeona nikusogezee moja kati ya rekodi ambazo klabu ya Arsenal iliwahi kuziweka mwaka 2004 chini ya kocha Arsene Wenger ambaye yupo hadi sasa akiifundisha klabu hiyohiyo... Wenger bado ana heshima…
Katikati ya Moshi Town nako kuna hizi nyumba za udongo zilizobakia… (Pichaz)
Moshi ina sifa zake na ubora wake kabisa ambao East Africa inaujua... huo ni mmoja ya Miji ambayo imeendelea na inakua kwa kasi nzuri kila siku, mbali ya sifa ya…
Video ya Rais Obama alivyosalimia kwa Kiswahili Kenya…
Ndege ya Rais Obama ilitua July 24 2015 saa mbili usiku Jomo Kenyatta International Airport, Historia ikaandikwa kwa Rais huyo wa kwanza wa Marekani kutembelea Kenya. Huwa nafuatilia sana stori…
Video ya staa mwingine wa Bongo Fleva imegonga namba moja kwenye countdown ya Nigeria !!
Muziki wa Tanzania unazidi kufanya vizuri kwenye nchi za Kiafrika mtu wangu, safari ya kuusogeza huu muziki kwenye level hizo inafanywa na mastaa wengi na wanaongezeka kila siku... Majina ya Vanessa Mdee…
Wagombea Urais UKAWA bado? Wajawazito feki kwenye BVR, Rufaa ya akina Mramba, waliochoma moto familia..
MWANANCHI Wakati leo saa 10 jioni ndiyo muda wa mwisho uliopangwa kurejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania Urais ndani ya CHADEMA, hadi sasa hakuna mwanachama hata mmoja aliyejitokeza kuzichukua. Hali…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania JULY25 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi July 25 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya…
Nkurunziza karudi madarakani Burundi? Haya ndio matokeo ya Uchaguzi..
Uchaguzi Mkuu wa Rais Burundi umefanyika tayari japo kulikuwa na mvutano mkubwa sana kutokana na ishu ya kuonekana Rais Pierre Nkurunziza kugombea kwa mara ya tatu ilikuwa ni kwenda kinyume…