Kobe Bryant ni shabiki wa FC Barcelona, cheki pichaz na Video walivyokutana Marekani…
Klabu ya FC Barcelona ambayo ipo Los Angeles Marekani katika maandalizi ya msimu mpya wa Ligi kuu ya Hispania, ilimpa mwaliko mkali wa Basketball Kobe Bryant anayeichezea Los Angeles Lakers kutembelea mazoezi…
(Video)..Ben Pol amerudi tena kwenye headlines!! yupo kwenye collabo hii ‘Ruka juu’ na Emanuel Austin
Ben Pol amerudi kwenye headlines za burudani tena na safari hii ameshirikishwa kwenye videop ya 'Ruka Juu' aliyoshirikishwa na mwalimu wa dance anayeishi ujerumani Emanuel Austin. Video ilisimamiwa na…
Huyu ndio anayefatia Ulingoni kukutana na Floyd Mayweather, atamvurugia rekodi??
Jina la Floyd Mayweather ni moja ya majina ya mastaa wachache waliochukua headlines nyingi zaidi mwaka 2015, mwaka uko katikati na bado anaendelea kuchukua nafasi hiyohiyo ya juu... mara nyingi…
Mourinho analaumu FC Porto kumsajili Casillas pamoja na mshahara wake?
Iker Casillas amelelewa na Klabu ya Real Madrid ya Hispania kwa miaka 25, ndani ya kipindi hicho ameichezea Klabu hiyo kwa miaka 16, lakini mambo yakabadilika baadae ambapo mwezi huu alitangaza kuhamia Klabu…
#MAGAZETINI JULY21…BVR sasa ni zamu ya Dar, Kesi ya Gwajima na Wabunge CHADEMA wamkaribisha LOWASSA
NIPASHE Uandikishaji katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa teknolojia ya Biometric Voters Registration (BVR), jijini Dar es Salaam, unaanza kesho huku takriban mashine 8,000 zikitarajiwa kutumika kwa kazi hiyo.…
Mganga aliyetabiri Obama atakuwa Rais wa Marekani, kaja na Utabiri mwingine Kenya.. (Video)
John Dimo anafahamika Kenya na hii sio mara ya kwanza kuibuka na utabiri wake, sio kila mtu anaamini kwamba utabiri unatokea kitu kinakuwa kweli, lakini jamaa ana rekodi yake nzuri…
Wenje kamkataa Dk. Magufuli? Majambazi wa Sitakishari, Kesi ya Gwajima.. Mawaziri Majimboni.. (Audio)
Stori za Magazetini tayari zimefikishwa mtaani, najua wakati mwingine huzipati zote ndio maana nakusogezea huu Uchambuzi uliozibeba stori kubwakubwa. Polisi watangaza kukamata bunduki 16 kati ya 34 zilizotumika kwenye tukio…
Hizi ndio zilizopewa uzito #July212015 kwenye kurasa za #Magazeti ya Tanzania kurasa za mbele na za nyuma
Good morning mtu wangu.. Najua huenda Magazeti yakachelewa kukufikia lakini kwa juhudi zangu nimehakikisha hupitwi na chochote kilichoandikwa leo. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne July 21 2015 tayari…
GOOD NEWS >>> Mastaa wanaoiwakilisha Tanzania kwenye Tuzo za AFRIMMA 2015 ni zaidi ya watano, list ya wote ninayo hapa..
Najua itakuwa furaha kubwa kwa kila mtu wa nguvu ambae anatoa love na suppoort ya kutosha kwa wasanii wa TZ, inapendeza kuona majina ya mastaa wetu wanaofanya muziki wanazidi kufahamika…
Mwingine kajipanga na posa ya ng’ombe kumpata Malia Obama, ataweza? (Audio & Video)
Hivi kweli Malia Obama atakubali kupata mpenzi toka Kenya kisa baba yake ana asili ya huko? Iliwahi kuchukua headlines stori ya jamaa ambaye kazi yake ni Wakili, alitangaza kabisa mpaka…