Utani wa jamaa hata hakuogopa kumrushia noti za dola Rais wa FIFA mbele ya camera.. (Pichaz & Video)
Rais wa FIFA Sepp Blatter ambaye alitangaza dhamira ya kwamba atajiuzulu June 2 2015 baada ya shirikisho hilo litakapompata Rais mpya. Leo hii amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya mchekeshaji…
Collabo ya Donald wa South Africa na Diamond Platnumz iko kwenye hii video tayari.. ‘Wangu’ (Video)
Ni leoleo Donald kaiachia audio ya huu wimbo wa 'Wangu' ambao kamshirikisha Diamond Platnumz... hajakawiza mambo, kaisogeza na video kabisa ili tuenjoy vizuri. Tumeziona collabo nyingi za Diamond na mastaa…
Donald kaisambaza hii na Diamond Platnumz leo
Diamond Platnumz ameendelea kufungua milango mingine ya collabo na mastaa wengine Africa. Time hii nakukaribisha kuisikiliza hii single mpya aliyoshirikishwa na msanii kutoka South Africa Donald wimbo unaitwa 'Wangu'. Donald…
Stand United wako vizuri, wamemvuta Kocha wa Simba? Usipitwe na hii…
Hii itakuwa mara ya pili kwa Kocha Patrick Liewig kupata dili la kufundisha Klabu ya soka Bongo, aliwahi kuifundisha Simba Sports Club mwaka 2013 na baadae akatimua, karudi tena Bongo?…
Vanessa Mdee nae tayari karudi Tanzania kutokea South Africa… (Pichaz)
Tanzania tumekuwa na bahati pia mwaka 2015 kwenye uwakilishi wa mastaa kwenye Tuzo za Kimataifa, kuwa na wawakilishi wawili katika Tuzo kubwa kama MTV MAMA sio kitu kidogo, Africa ina…
Hizi ndio silaha na vitu vilivyokamatwa na Polisi vikihusishwa na uvamizi wa Kituo cha Polisi Stakishari.. (Picha)
Imetufikia ripoti kutoka Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Dar kuhusu idadi ya watu waliokamatwa na wanahojiwa na Jeshi la Polisi wakihusishwa na tukio la uvamizi wa Kituo cha Polisi…
Rooney akabidhiwa mikoba Man United.
Nahodha wa Manchester United Wayne Rooney anatarajia kukabidhiwa mikoba ya kuongoza safu ya ushambuliaji ya timu hiyo kwa msimu ujao wa mwaka 2015/2016 ambapo atachezeshwa kama mshambuliaji wa kati…
Tarehe ya uchaguzi wa Fifa yatajwa.
Ikiwa imepita miezi miwili tangu rais wa Fifa Sepp Blatter alipotangaza kuiacha wazi nafasi yake baada ya kuchaguliwa katika uchaguzi mkuu wa Fifa , shirikisho hilo limetangaza tarehe ya…
Real Madrid yagonga ukuta kwa De Gea.
Usajili wa kipa Mhispania David De Gea kuelekea klabu ya Real Madrid kwa sasa inaonekana kama huenda usitokee tena hivi karibuni baada ya klabu hii ya Hispania na wenzao…
Breaking News kutoka Makao Makuu ya Polisi Dar kuhusu Silaha zilizoibiwa Kituo cha Polisi Stakishari..
Kwenye mfululizo wa matukio yaliyoshtua watu wengi Tanzania, liko pia ambalo lilitokea usiku wa July 12 2015 ambapo Majambazi walivamia Kituo cha Polisi Stakishari Ukonga Dar, wakauawa watu 7 wakiwemo…