Sentensi tisa za Boss wa Clouds FM, Joseph Kusaga kuhusu Tuzo ya Diamond Platnumz MTV MAMA 2015… (Audio)
Historia nyingine nzuri ya TZ kwenye Burudani ilichukua headlines zake zenye uzito kutoka Durban South Africa ambako Diamond Platnumz aliibuka na Ushindi wa Tuzo moja ya MTV MAMA 2015, jana…
T-Pain naye katusogezea mix tofauti ya Classic Man ndani ya; Classic Man (TMix). Video
Wimbo ambao unafanya vizuri kwenye chati za muziki kwa wiki ya pili sasa ni Classic Man remix ya Jidenna aliyomshirikisha HipHop superstaa Kendrick Lamar. Good news kwako mtu wangu ni…
StoriKubwa 10 kutoka ndani ya Magazeti ya leo Tanzania July 20,2015 nimekusogezea hapa…
MWANANCHI Wanasiasa wa upinzani nchini wamepinga kitendo cha mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli kutumia ndege ya Serikali kwenye shughuli za kichama za kujitambulisha wakisema hatua hiyo ni matumizi…
Hivi ndivyo Airtel Fursa ilivyomwezesha mvuvi Maryana kuzifikia ndoto zake.. (Video)
Airtel Fursa iko kwenye headlines nyingine July 20 2015 mtu wangu. Mtandao wa Airtel uko na watu wake kila wakati, Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana, kuwapa nafasi ya…
CHADEMA na Urais, Waziri Pinda hataki Ubunge? Esther Bulaya anahama CCM? Waandishi wa Habari watapata Ubunge? (Audio)
Stori kubwakubwa tayari ziko mtaani mtu wangu, una chochote kimepita leo Jumatatu July 20 2015? Basi hizi ni baadhi ya stori zenye uzito zaidi. Mchakato wa kupitisha Wabunge na Madiwani…
Unaweza kuona #Magazeti ya Tanzania July 20 2015 na kilichoamka nacho kwenye Udaku, Hardnews na Michezo hapa..
Good morning mtu wangu.. Najua huenda Magazeti yakachelewa kukufikia lakini kwa juhudi zangu nimehakikisha hupitwi na chochote. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatatu July 20 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti…
Jamaa walijiandaa, huu ndio mjengo kulikotolewa tuzo za MTV 2015 South Africa
Tumeshazoea kuona kumbi zinazotumika katika utoaji wa tuzo mara nyingi huo ni kumbi za Mlimani City sasa good news ninayotaka kukusogezea ni hii ya hapa Durban ambapo ukumbi wao unaofahamika…
AyoTV: Mwimbaji Banza Stone alivyozikwa Dar es salaam. #RIP
Legend kwenye muziki wa dance Tanzania Ramadhan Masanja au Banza Stone… sauti yake iliwahi kusikika kwenye bendi chache ikiwemo hizi mbili kubwa za Tanzania, African Stars ‘Twanga Pepeta‘ na TOT…
Umesheherekea wapi Eid pili? Beach za Dar na mitaani leo ilikuwa ni noma… (Pichaz)
Siku za weekend ni kawaida watu kushinda nyumbani na familia au kuwa sehemu wakibadilishana mawazo, wengine hutumia muda huo kutembelea ndugu na jamaa.. lakini Sikukuu kuna kitu huwa kinakuwa tofauti,…
Mwanzo mwisho red carpet mpaka ndani tazama Diamond alivyoshinda tuzo ya MTV 2015 South Africa.
Diamond Platnumz alikua miongoni mwa mastaa wa Afrika walioshinda tuzo kwenye usiku wa Television kubwa ya Africa (MTV BASE) unaweza kutazama kuanzia red carpet. https://www.youtube.com/watch?v=TXHm1ghUwcs Nitakutumia stori zote ukibonyeza hapa >>> Twitter Insta FB na…