Pichaz 10 jinsi mastaa wa Chelsea walivyotua Canada tayari kwa maandalizi ya ligi kuu…
Chelsea ndio mabingwa wa ligi kuu ya England msimu uliomalizika..saa hivi tayari wameanza maandalizi ya kutetea ubingwa wao kwa mara nyingine na wameamua kusafiri hadi Canada kwa ajili ya kuanza…
Mambo ni haya Man United, Victor Valdes na Kocha Louis Van Gaal hakuna amani kati yao…
Ndani ya masaa 72 tu mahusiano mazuri kati ya golikipa wa Manchester United Victor Valdes na kocha wa timu hiyo Louis Van Gaal yamevunjika, tofauti kati yao ilianza wakati Valdes…
Mambo yalivyoharibika Rubani ilibidi aishushe ndege katikati ya barabara na magari yanapita.. Ona pichaz na video
Japo kumekuwa na stori nyingi zinazohusu ajali za ndege, bado sifa ya kuwa usafiri salama namba moja duniani haijaharibika, nimezipata hizi pichaz na video zinazoonesha Rubani ambaye alijiongeza na kuona…
Hiki Chumba cha Hoteli kiko juujuu Mlimani, unalipiwa kila kitu utakubali kulala?
Wako watu ambao kupanda jengo la ghorofa moja tu ni tatizo, unadhani atakubali kirahisi kabisa kulala hapa juujuu? Labda ukiwa hapo utaenjoy zaidi kuona mazingira poa ya nje, Milima iliyozunguka,…
Hii ni good news kwa mashabiki wa Azam FC
Jean Baptiste Mugiraneza ni kiungo wa kimataifa wa Rwanda aliyesajiliwa na klabu ya Azam FC msimu huu akitokea klabu ya APR ya Rwanda kwa mkataba wa miaka miwili. Awali taarifa zilitoka…
Z Anto kageukia filamu? Ray C na Recho Je? pia kasikika Jokate kuhusu Video ya ‘Leoleo’…#255 (Audio)
Hitmaker wa 'Binti Kiziwi' Z Anto amekuwa akipost picha yupo location.. mwenyewe amefunguka na kusema kuna kazi amefanya na mastaa wengi wa filamu na itaingia sokoni wakati wowote..amesema hiyo ni filamu…
Nigeria imempa kazi kocha huyu kuinoa ‘Super Eagles’ kabla ya kuivaa Tanzania!!
Timu ya Taifa ya Nigeria Super Eagles imempa kibarua cha ukocha kiungo na nahodha wake wa zamani Sunday Oliseh. Oliseh anachukua nafasi ya Stephen Okechukwu Keshi ambaye alitimuliwa mwanzoni mwa…
Muendelezo wa Hekaheka ya jana, leo kasikika dada aliyejeruhiwa vibaya na wifi yake…(Audio)
Hekaheka ya Jana ilisikika kutoka Mbeya ambapo dada mmoja alishambuliwa kwa chupa na wifi yake hadi kulazwa hospitali kwa madai anamtafutia mdogo wake ambaye ni mume wa wifi yake wanawake. Leo dada…
Pale ambapo video ya ajali inakupeleka kwenye mikono ya Mahakama kirahisi kabisa !!
Hizi smartphone zimerahisisha vitu vingi, lakini usidhani hiyo simu ndio haiwezi kukuletea majanga!! Jamaa mmoja Paul Pelton alijikuta akiingia kwenye mikono ya Sheria kirahisi kabisa yani huenda hata yeye mwenyewe hakujua…
Diamond Platnumz na Vanessa Mdee wawakilishi kwenye Tuzo hizi nyingine Marekani!
Tuzo za African Entertainment Awards (AEA) ni Tuzo zinazotolewa kila mwaka kwa nia ya kutambua watu wanaotoa mchango mkubwa katika uliwengu wa burudani. Tuzo hizi zinalenga hasa kuonyesha ukubwa na…