Unajua shindano la kung’atwa na mbu? Wako wanaoandaa na Sherehe kabisa yani !!
Mbu wanajulikana kwa kuwa adui namba moja wa binadamu kutokana na kusababisha malaria... pengine hili lililotokea Russia linaweza kukushangaza na kukushtua kidogo. Katika mji wa Perm wameamua kila mwaka kusherehekea…
Rivaldo kwenye headlines na mwanaye
Unamkumbuka Rivaldo? unakumbuka alichofanya katika michuano ya World Cup 2002, Vipi unamkumbuka yule mtoto aliyemzaa miaka 23 iliyopita? unakumbuka kuwa ni miongoni mwa wachezaji wanaounda kikosi bora cha Brazil katika…
Hizi ni TBT story na picha za mastaa wa soka mtu wangu >>> Ronaldo, Ronaldinho na Raheem Sterling
1. Cristiano Ronaldo Ronaldo alizaliwa February 5 1985 Santo Antonio Ureno jirani na miji ya Funchal na Madeira, ni mtoto wa mwisho kwa mama yake Maria Dolores do Santos Aveiro…
#MAGAZETINI JULY16..Atafunwa na fisi usingizini, CUF waitega UKAWA na KINGUNGE adai uteuzi CCM haramu
MWANANCHI Mbunge wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA) ameanza kuonja joto la kuwania ubunge katika jimbo hilo baada ya watu wanane kujitokeza kwa siku ya kwanza kuitaka nafasi hiyo. Kati ya…
Matokeo Form six, ishu ya Stakishari, aliyeliwa na fisi usingizini.. CUF na UKAWA.. Zisikilize zote hapa.. (Audio)
Leo ni siku nyingine tena, na inawezekana uchambuzi wa stori za magazeti leo July 16 2-15 kwenye #PowerBreakfast @CloudsFM umekupita, nimekusogezea stori zote za leo. Chama cha CUF imetaka viongozi wa chama…
AyoTV: Nilikua siijui hii ya Huddah na Prezzo, mtoto na kuishi pamoja
AyoTV inakukutanisha na hii post nyingine ya Exclusive kutoka kwa Huddah, mrembo kutoka Kenya ambaye ujazo wa jina lake uliongezeka baada ya kushiriki shindano la Big brother Africa. https://www.youtube.com/watch?v=p1mUod2x9VQ
Ulimis? maneno ya Lowassa, Membe, Makamba na Ngeleja baada ya Top 5 ya CCM kutangazwa
Jana July 15 2015 mmoja wa Wanasiasa wakongwe Tanzania mzee Kingunge Ngombale Mwiru aliongea na waandishi wa habari na kusema hakuridhishwa na kitendo cha CCM kutoliingiza jina la Edward Lowassa…
Stori zote kwenye Magazeti 20 ya Tanzania July 16 2015 >>> Udaku, Michezo na Hardnews niko nazo hapa
Good morning mtu wa nguvu.. millardayo.com huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi. Ninayo tayari hii post ya Magazeti 20 ya Tanzania leo July 16 2015, story zote kubwakubwa…
Huwezi kuamini wanyama hawa ni wakubwa kiasi hiki!! >>> VIDEO.
Dunia ina vitu vingi vya kushangaza mtu wangu, kuna watu na vitu vinavyoweka headlines kila siku ipitayo kwa mungu, kimtindo huu ndio mwendo wa dunia siki hizi. Nimekutana na video…
Jidenna na Kendrick Lamar wameshirikiana kukuletea Classic Man (Remix). >>> VIDEO
Baada ya kutengeneza headlines kubwa na single ya Classic Man, RnB pop artist kutoka lebo ya Wondaland Records Jidenna amerudi tena kuziandika headlines kwenye kurasa za burudani. Masaa machache yaliopita…