Sentensi 3 kutoka kwa Dr. Wilbroad Slaa kuhusu CCM na ubora wake.
Kwenye mkusanyiko wa stori za mitandao ndani ya siku tano zilizopita kutoka kwa walichoandika watu mbalimbali maarufu wa Tanzania, zipo pia hizi tweets za katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Wilbroad…
AyoTV: Dakika 5 za jengo jipya la CCM Dodoma lililojengwa na Wachina.
July 2015 chama cha Mapinduzi CCM kililionyesha kwa mara ya kwanza jengo lao jipya lililojengwa Dodoma ambalo litakua likitumika kwa mikutano mbalimbali, ujenzi wake ulikwenda kimyakimya chini ya usimamizi wa…
Leo nimekuletea hii utazame barabara 10 hatari kwenye hii dunia! kosa moja tu la dereva….
Kuna sehemu za hatari sana duniani ambazo unaambiwa ukifanya kosa moja tu unajiweka kwenye uwezekano mkubwa wa kupoteza maisha, hatari hii inapatikana kwenye barabara ambazo zipo kwenye sehemu mbalimbali duniani.…
JULY 14 2015 stori zote kwenye Udaku, Hardnews na Michezo Tanzania ziko kwenye haya Magazeti
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapa millardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Producer Sheddy Clever kaweka wazi sababu za kumblock na kumuunfollow Rich Mavoko Instagram.
Sheddy Clever ni producer wa muziki wa bongofleva ambaye mikono yake imehusika kuzisuka kali kama 'number one' ya Diamond, Kerewa ya Shetta ft. Diamond, 'msambinungwa' ya Tunda Man na Ali…
Pesa aliyolipwa Diamond Platnumz baada ya video yake kuchezwa kwenye TV ya Marekani.
Ni utamaduni wa kawaida kwenye nchi zilizoendelea au nchi kubwa duniani Wasanii kulipwa pesa kutokana na nyimbo zao kuchezwa kwenye TV na Radio ambapo hii imemtokea Mtanzania Diamond Platnumz baada…
Top 10 ya Hip Hop Trace TV July 13,2015
Najua kuna watu walikuwa na hamu ya kufahamu video za Hip Hop zinazofanya vizuri duniani na iliyofanikiwa kuchukua nafasi kwenye countdown za nchi kubwa. kwa mara nyingine tunajiunga na kituo…
Siku mbili baada ya tukio la Ijumaa, Watanzania hawa 35 Wamefikishwa Mahakamani
Ijumaa kwenye taarifa kubwa kutoka taifa la Tanzania hii ya kituo kidogo cha Polisi Bunju Dar es salaam kuchomwa moto na Wananchi kwa hasira ya Mwanafunzi wa shule ya msingi…
Olamide amerudi na single mpya “Lagos Boys!” (Audio)
Msanii wa Nigeria kutoka kwenye lebo ya YBNL Olamide siku chache zilizopita alidondosha kichupa chake cha Shakiti Bobo kilichofanya vizuri, lakini hajaishia hapo leo msanii huyu pia anaziandika headlines zake…
Hawa ndio wagombea wa urais wa klabu ya Fc Barcelona
Mbio za kuelekea uchaguzi mkuu katika klabu ya Fc Barcelona bado zinaendelea na wagombea wanne kati ya saba wametimiza vigezo vya kuendelea hatua inayofuata ya kuwania fursa ya kuwa raisi…