Diamond Platnumz Kaguswa na hotuba ya Rais Kikwete
Baada ya Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete kulianga rasmi bunge mjini Dodoma msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz ameguswa na hotuba hiyo.…
Hii ni Hotuba yote ya Rais Kikwete toka Dodoma July 09 2015 na nukuu ya kile alichokisema
Shughuli ya kwanza iliyompeleka Dodoma Rais Kikwete Dodoma ameikalimilisha leo July 09 2015, ilikuwa alihutubie Bunge pamoja na kulivunja Bunge hilo ambapo Wabunge wanarudi Majimboni kwa ajili yakuendelea na maandalizi ya…
Ali Kiba kayajibu matano, ishu ya beef, ubalozi wake, Tuzo sita, yeye na Diamond..
Staa wa hits za 'Cheketua' na 'Mwana' ambazo zilimrudisha kwa nguvu kwenye muziki TZ, Ali Kiba alikuwa kwenye show ya XXL leo July 09 2015, kuna vitu vingi vinaendelea, leo kapata…
Magari 10 ya gharama ya mastaa wa soka Ulaya 2015…(Pichaz)
Moja ya starehe za mastaa wengi wa soka duniani ni pamoja na kutembela magari ya kifahari..ukiachilia utajiri wa magari ya kifahari anayomiliki bondia mwenye utajiri mkubwa Floyd Mayweather..wapo mastaa wa…
Hii ndio klabu iliyomchukua Ramadhani Singano (Messi)
Ikiwa imepita siku moja toka Kamati ya Haki na Hadhi za Wachezaji ya TFF kuvunja mkataba wamchezaji Ramadhani Singano (Messi) na iliyokuwa klabu yake Simba leo hii amesaini mkataba wa…
Kuna ugomvi kati ya Luteni Kalama na Inpector Haroun? #Uheard (Audio)
Jana kupitia akaunti yake ya @Instagram mke wa Luten Kalama ametoboa mambo mengi kuhusiana na kundi la Gangwe Mob ambalo kwa sasa lina mgogoro mzito. Luteni Kalama mwenyewe amesema anashangaa…
Kwa wasumbufu wa kulipia parking Nairobi, zimeshushwa hizi 300 !!
Ni utaratibu wa kawaida kabisa katikati ya Miji au Majiji makubwa kukutana na parking za magari ambazo kama uko na gari lako na unahitaji kupaki ni lazima ulipie. Ninayo story…
Black Ryno na albamu mpya, Nay Feat.Diamond imebuma? na Producer DX anamkubali nani?..#255
Black Ryno amesema baada ya kumaliza masters yake MZUMBE sasa akili yake imekua na ataachia albamu yake muda si mrefu kwani sasa anajua nini anafanya ili kazi zake ziweze kuuzika…
Kikosi cha Azam FC kimethibitisha kuwapokea hawa watatu toka nje ya TZ..
Ligi Kuu TZ bara inatarajiwa kuanza August 2015, Vikosi ya Timu za soka vimeendelea kujipanga na kuimarisha Vikosi vyao ili mambo yaende sawa msimu huu watoke na ushindi, Azam FC…
Watoto hawawezi kutembea wala kukaa..Mama kapiga hodi kwenye #Hekaheka (Audio)
Hekaheka ya leo ilikua ikifanya mahojiano na mama mmoja ambaye watoto wake wawili wa kiume wana matatizo. Mama huyo anasema mtoto wake wa kwanza mwenye miaka 12 hawezi kukaa wala…