Kenya hawajasahau Mashambulizi ya Kigaidi, hii imetokea usiku wa kuamkia leo.. (Audio)
Tuliyasikia mengi kuhusu mfululizo wa matukio ya mashambulizi ya kigaidi Kenya, leo inasikika tena kutoka huko, Shambulio limetokea eneo la Mandera, Kenya. Watu 14 wamefariki na wengine nane wamelazwa wakiendelea…
Ujenzi wa Rock City Mall ya Mwanza umefikia hapa, litaanza kazi muda wowote..
Katikati ya Jiji la Mwanza kiko hiki kitu kizuri, kama uliwahi kupitia millardayo.com basi huenda uliwahi kukutana na pichaz zikionesha 'Mlimani City ya Mwanza' ikiwa kwenye ujenzi. Kazi imefikia pazuri, miezi…
Mwonekano wa Magazine ya Vibe TZ toleo jipya, pichaz na story za mastaa
Vibe TZ ni Magazine ya Entertainment ambayo huwa inakuwepo mtaani kila mwezi na story zake kali kabisa, pichaz za mastaa na mambo mengine mazuri... Toleo jipya la June 2015 tayari…
Seyi Shay karudi na hii video nyingine- Right Now
Seyi Shay anaziandika headlines za leo kwenye burudani, akiwa ni miongoni mwa wasanii kutoka Africa aliyekuwa nominated kwa ajili ya tuzo za MTV Mama Awards leo ameachia ngoma yake mpya iitwayo Right Now. Director…
Rafael karuhusiwa kuondoka Man United, vipi kuhusu mrithi wake je?
Klabu ya Manchester United imempa ruhusa beki Rafael Da Silva kuhama kwenye klabu hiyo baada ya kuitumikia kwa muda usiopungua miaka 6, na kinachoendelea kwa sasa ni kwamba klabu hiyo…
Selfie ikazua mengine darajani Russia…
Upigaji wa picha za selfie bado umeendelea kupata umaarufu katika sehemu mbalimbali duniani kutokana na teknolojia ya mitandao ya kijamii kuendelea kukua kwa kasi. Matukio ya watu kupoteza maisha wakati…
Cristiano Ronaldo kaokota simu, ilimfikia mwenye nayo?
Dada mmoja aitwaye Austin Milan jana usiku ametoa story moja nzuri sana kuhusu nahodha wa Ureno, Cristiano Ronaldo... Austin kwa sasa yuko Marekani kwenye mapumziko yake tu. Austin anasema ilitokea bahati…
Mke kaamua kufunga ndoa nyingine, mume wa kwanza je? #Hekaheka (Audio)
Mwanaume mmoja alioa na wakapata mtoto mmoja na mkewe, akapata safari kwenda Rwanda ambako ikapita kama miaka mitatu hivi hakuna mawasiliano kati yao. Mwanaume ni dereva wa magari makubwa ya…
Wazo la kujenga ghorofa hili lilitoka kwenye video ya Beyonce.. Ona pichaz na video yenyewe !!
Kampuni ya Elenberg Fraser ambao wanadili na kubuni ramani za majengo kutoka Australia wako mezani kukamilisha jengo lao jipya The Skyscraper litakalojengwa katikati ya Jiji la Melbourne. Mkurugenzi wa kampuni hiyo…
Una mpango wa kwenda Dodoma? Ninayo maneno ya Kamanda wa Polisi hapa.. (Audio)
Imeandikwa kwenye Magazeti mengi leo July 07 2015 kwamba kama huna shughuli ya kufanya Dodoma, na ulijipanga kwa ajili ya safari ya kwenda huko basi ni bora ukaahirisha ili kuepuka…