Pombe imeandikwa kabisa #RestInPeace na jeneza pembeni.. wako wanaoitumia kabisa !!
Kenya imetajwa kwenye Top Ten ya nchi Tajiri Afrika 2015, hiyo ni good news.. Zimebaki wiki kama tatu hivi ili tushuhudie Rais wa Marekani, Barrack Obama anatembelea nchi hiyo, hiyo ni good…
Airtel Fursa imefungua milango kwa huyu mwingine kufikia ndoto zake.. (Video)
Airtel Fursa iko kwenye headlines nyingine July 06 2015 mtu wangu. Mtandao wa Airtel uko na watu wake kila wakati, Airtel Fursa ni mradi wa kijamii wenye dhumuni la kuhamasisha vijana, kuwapa nafasi ya…
Swali likamchefua Christiano Ronaldo, kawaacha waandishi wa habari kwenye mataa..(Video)
Mwanasoka bora wa dunia Cristiano Ronaldo ametoa kali baada ya kuondoka katikati ya kipindi cha runinga wakati akihojiwa na Televisheni ya Sports News. Kitendo cha mchezaji huyo kuondoka kulisababishwa na kuulizwa…
Pichaz…Marekani walivyosheherekea kutwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa wanawake…
Marekani imefanikiwa kuitandika timu ya Japan mabao 5-2 katika fainali ya michuano ya kombe la duniani na kufanikiwa kutawazwa mabingwa wapya. Katika mchezo huo Marekani ilifanikiwa kutawala mchezo kwa muda…
Meek Mill na Future washirikiana kukuletea video hii mpya: Jump Out The Face.
Baada ya kutumbwiza kwenye tuzo za BET Awards mwaka huu na kudondosha album yake mpya ya Dreams Worth Than Money, Meek Mill ameanza wiki hii na video mpya ya wimbo…
#MAGAZETINI JULY6…Mume kumnyonga mjamzito, wiki ngumu CCM na kompyuta yaibiwa kituo cha kupigakura
NIPASHE Zikiwa zimebakia siku sita kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kumpata mgombea wake wa urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu, kura ya maoni iliyoendeshwa na Mpango wa…
Uchambuzi wa Stori Kubwa Tanzania leo 6 July 2015 utazipata kwenye audio hapa>>
Hizi ndio stori nyingine kubwakubwa kutoka Magazetini, Uchambuzi uliofanywa Magazetini ninao hapa, . Bunge limeanza kupitisha Miswada iliyokuwa inapingwa na Wabunge wengi wa vyama vya upinzani ikiwemo Muswada ya Petroli. Rais Jakaya…
Nimekusogezea ngoma tatu mpya za Young Thug: First Up, Calling Your Name na Like. (Audio)
Msanii wa Hip Hop anaye vuma kwa sasa Young Thug jana alitangaza kusogeza mbele tarehe ya uzinduzi wa Album yake mpya Slim Season, lakini habari nzuri kwako mtu wangu ni…
Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JULY 6, 2015 Udaku, Hardnews na Michezo
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Ndege ya abiria ikiyumba hivi angani hata mimi nitaogopa…. ikitua salama mnampigia Rubani makofi.
Wanasema usafiri wa ndege ndio usafiri salama zaidi duniani huku uwezekano wa ajali ukiwa ni tone katika safari mamilioni zinazofanywa kila siku ila pamoja na hayo, usafiri wa ndege huwa…