Diamond amevunja record kashika No.1 kwenye Top 10 ya Afrika (pichaz)
Kwenye Top 10 ya muziki mkali wa Afrika ambayo hufanyika kila Alhamisi kwenye kituo cha TV cha Ufaransa ambacho kina mamilioni ya Watazamaji Afrika (TRACE TV Urban) July 2, 2015…
Kama uliushtukia ukimya wa MB Dog, yuko hapa
Mkali wa ‘Latifa’, Si uliniambia’ Mbwana Mohamed aka MB Dog time hii amefunguka na kuelezea sababu zilizopelekea kuwa kimya kwa muda mrefu kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva. Akizungumza…
Eti wachezaji wa Taifa Stars walikuwa hawakuelewa Kingereza?, Cannavaro kanyoosha mkono
Kumekuwa na headlines tofauti tofauti katika mitandao zikiwahukumu wachezaji wa timu ya 'Taifa Stars' kutojua lugha ya kingereza ndio chanzo iliyopelekea kutofanya vizuri uwanja na kutoelewana na aliyekuwa kocha mkuu…
Vipi kuhusu wasanii kupeana support kwenye muziki? Yemi Alade ana mtazamo huu!
Yemi Alade ni msanii maarufu kutoka Nigeria ambaye alitamba sana na ngoma yake Johnny. Nimekutana na interview moja aliofanya msanii huyu jijini Lagos, aliulizwa maswali mengi lakini moja kubwa lilikuwa…
Uhusiano wa kwanza wa Meek Mill na mwanamke maarufu?ukweli kwenye hii interview.
Rapper Meek Mill aliziandika headlines siku chache zilizopita baada ya kuachia single yake mpya ya All Eyes on You aliomshirikisha girlfriend wake Nicki Minaj na Chris Brown. Stori mpya leo ni kwamba…
January Makamba kajibu haya kuhusu wizi wa muda wa hewani unaofanywa kwenye simu za watu (Audio)
Kama uliwahi kuweka vocha kwenye simu yako alafu ukakuta ile hela uliyoweka haipo na wala hujaitumia, hii ishu imewagusa Wabunge... Alianza Mbunge kwa kuuliza swali kwamba nini kinafanyika kuzuia wizi…
Unamfahamu Rais bora Afrika 2015? Ninayo hii stori iliyopewa headlines kubwa leo..
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amechaguliwa na muungano wa wanafunzi wa Vyuo vikuu barani Afrika AASU kama rais bora barani Afrika mwaka 2014/2015. Kabla ya Kenyatta kushinda, Rais Paul Kagame…
Kilichotokea Bungeni mpaka Bunge likaahirishwa leo July 02 2015
Kikao cha Bunge kilianza kama kawaida leo July 02 2015, baada ya kipindi cha maswali na majibu yaliyoulizwa kwa Mawaziri, Mbunge John Mnyika akaomba mwongozo. "Tumekabidhiwa orodha ya shughuli za…
Producer D Classic kalalamika wasanii kumrudisha nyuma…#Uheard (Audio)
Soudy Brown amepiga stori na Mtayarishaji wa muziki Producer D Classic kutoka Mwanza ambaye amesema anatumia muda mwingi kufanya kazi lakini kuna baadhi ya wasanii wanamrudisha nyuma, huku akiamini kufanya kazi…
Mwanafunzi kaona aingie na jeneza kwenye Graduation yake…
Niliwahi kukuletea stori ya bibi harusi kuamua kufanya surprise kwa mume wake pamoja na wageni waalikwa siku ya harusi, akajipanga na kuingia zake Ukumbini akiwa ndani ya jeneza.. lengo lake…