August Alsina katusogezea Video yake mpya ndani kamshirikisha Lil Wayne…
Kwenye zile headlines za burudani leo August Alsina amedondosha video ya ngoma yake mpya ya 'Why I Do It' akimshirikisha rapper Lil Wayne. Nakukaribisha hapa kuitazama mtu wangu.... https://www.youtube.com/watch?t=3&v=kqojpZmDiTw&hd=1…
Haya ni Maisha mengine ya kocha Jose Mourinho nje ya soka…
Jina la José Mourinho ni miongoni mwa majina yenye ushawishi mkubwa sana kwa upande wa soka duniani..amekuwa kocha mwenye mafanikio makubwa katika timu mbalimbali alizowahi kufundisha ikiwemo Chelsea ambayo anaifundisha kwa…
Baada ya kimya kingi Lady Gaga amerudi na style mpya kwenye ‘Til It Happens To You’! (Video).
Mara ya mwisho umesikia ngoma mpya kutoka kwa Lady Gaga ilikuwa ni lini mtu wangu!?... Baada ya ukimya wa muda mrefu hatimaye Lady Gaga amerudi kuchukua nafasi yake kwenye kurasa…
List ya viwanja 10 vya ndege ambavyo ni vya gharama zaidi duniani…(Pichaz)
Wakati Tanzania ikipambana kukamilisha upanuzi wa ujenzi wa uwanja wa ndege ambao utakuwa bora zaidi na kuziwezesha ndege kubwa zaidi duniani kuweza kutua kwa wingi..hapa nimekuwekea list ya viwanja 10 ambavyo vimejengwa…
Kama ulikuwa shabiki wa Marehemu Aaliyah, karibu ujue kingine kizuri kilichokuja kwa jina lake kabisa ..!!
Kwenye Album ya Staa wa Marekani, Chris Brown ambayo ilitoka mwaka 2014 akaipa jina la 'X', kuna hit single ya 'Don't Think They Know' ambayo producer wa Chris alifanya mautundu…
Rihanna asema hawezi kufanya wala kusindikiza shows za Taylor Swift… je, kuna tatizo lolote kati yao!?
Baada ya kuachia album yake iitwayo '1989' msanii wa muziki wa Pop R&B nchini Marekani, Taylor Swift amekuwa akiweka headlines nyingi sana kuanzia kwenye ushindi wa tuzo na pia hata…
Collabo nyingine ya Lil Wayne Feat.Christina Milian isikupite weekend hii mtu wangu
Headlines za burudani kwa sasa kuhusu mastaa hawa Christina Milian na Lil Wayne zinazungumzia kuvunjika kwa mahusiano yao. Pamoja na hayo mastaa hao wameachia single yao mpya inayoitwa 'Do It' .…
Baba mlemavu alivyobuni njia nyingine kumbeba mtoto wake wakiwa kwenye matembezi.. (Pichaz & Video)
Baba na love ya nguvu kwa mtoto wake, akaona hata iweje.. kama akihitaji kuingia town na mtoto wake anakatisha nae fresh kabisa japo ana ulemavu wa miguu !! Pichaz na…
Mtikila na Ikulu, Uchaguzi TZ.. Magufuli na Lowassa !! mabasi ya mwendokasi ?? (Audio)
Asubuhi ya Ijumaa tarehe 18 September 2015 imeanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM zipo nyingi zilizosikika leo kwenye #PowerBreakfast na kama nyingine zilikupita unaweza ukapitia hapa. Umoja wa EU umesema…
Taarifa kutoka jesho la polisi kuhusu tathmini ya Uchaguzi 2015…
Tukiwa bado kwenye headlines za uchaguzi 2015 tunaungana na jeshi la polisi kutupata tathmini ya matukio yalitokea kwenye kipindi hiki cha Uchaguzi. Akiongea na waandishi wa habari, msemaji wa jeshi…