Kwa nini nyimbo nyingi za Drake ni za mapenzi na wanawake…?! Lil Wayne atoa hizi sababu.
Rapper maarufu kutokea kwenye kundi la Cash Money Records Lil Wayne ndiye aliyehusika kwa asilimia kubwa sana kikigundua kipaji cha rapper Drake na kumleta kwenye lebo yake ya Young Money…
Kutana na pichaz nje mpaka ndani ya hoteli ambayo imetengenezwa kwa mchanga mwanzo mwisho !!
Biashara ya utalii ingekuwaje kama Hoteli nyingi zingekuwa zimejengwa kwa mchanga!? Vitu kama umeme na maji vingekuwa vinapatikana kweli? Nimekutana na stori moja kutoka Netherlands inayoweka headlines nyingi sana kwenye…
Maneno ya Young Dee kuhusu kufananishwa na msanii wa Nigeria, tutegemee collabo?, stori iko hapa
Usishangae sasa hivi kuona Young Dee amefanya collabo na msanii kutokea Nigeria hitmaker wa single ya My Woman Patoranking. Akizungumza na ripota wa millardayo.com Young Dee alisema...'Hii ni connection kutokana…
Ninazo picha 13 za mwigizaji Frank alivyofanya mkutano wa kuzungumza na wananchi jimbo la Tabata Segerea
Kasi ya Wanasiasa kuzungumza na wapiga kura wao kwa sasa ndiyo stori ambayo inazungumzwa karibu kila kona ya Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Good news ninayotaka kukusogezea ni…
Tayari ninayo ratiba ya mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya September 15 na 16 …
Baada ya kupangwa kwa makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya na Shirikisho la soka barani Ulaya (UEFA) siku kadhaa nyuma, September 15 na 16 ni siku ambazo michezo ya hatua…
Licha ya ushindi wa goli 3-1 dhidi ya Liverpool Louis van Gaal hakiamini kikosi chake…
Kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal ambaye amekiongoza kikosi chake kupata ushindi mnono katika mchezo wa Ligi Kuu Uingereza September 13 dhidi ya Liverpool ameshindwa kuthibitisha ubora wa kikosi…
Sergio Aguero anaukosa mchezo wa kwanza wa UEFA, wachezaji wengine waliorejea Uwanjani hawa hapa..
Klabu ya Manchester City ya Uingereza September 15 inashuka dimbani kucheza mechi yake ya kwanza ya hatua ya makundi ya klabu Bingwa barani Ulaya dhidi ya klabu ya Juventus ya…
Haya ni maamuzi ya Kanye West yaliyomfanya mbunifu huyu wa mavazi kubadili tarehe ya Fashion Show yake…
Rapper wa Marekani Kanye West ambaye ni baba wa mtoto wa kike North West, mtoto aliyempata kwa staa wa kipindi cha Keeping Up With the Kardashians Kim Kardashian, ametangaza kwa…
Ilikupita hii stori ya gari inayopaa mwaka 2009? Nimekuwekea hapa mtu wangu ..(+Pichaz)
September 14 na kusogezea karibu yako na moja kati ya stori nzuri za ukuwaji wa kiteknolojia. Hii ni stori kutoka mymodernmet.com licha ya kuwa ni stori ya muda ila inawezekana…
Maneno mengine ya T B Joshua mwaka mmoja baada ya Jengo la Kanisa lake kuanguka..
Umepita mwaka mmoja sasahivi toka litokee tukio la kuanguka kwa Jengo la Kanisa la Synagogue Church of All Nations Nigeria ambalo linaongozwa na Mchungaji T B Joshua... kuna watu wengi walifariki…