Mengine kuhusu Louis van Gaal na wachezaji wa Man United…
Kocha wa Manchester United Louis van Gaal alijiunga na klabu ya Man United toka mwaka 2014 akichukua mikoba ya David Moyes aliyetimuliwa kazi. Imeripotiwa kuwa Van Gaal sio kocha rafiki na…
Baada ya ushujaa wa kuokoa watu 170 kwenye Ndege iliyowaka moto, Rubani kaamua haya..
Stori kubwa kutoka Las Vegas Marekani September 09 2015 ilikuwa ishu ya Ndege ya British Airways kuanza kuwaka moto katika Uwanja wa Ndege wakati ikiwa na abiria 159 ndani pamoja…
Shabiki alienda kwenye show ya Meek Mill na bango la Drake… Kilichofuata!? (Video).
Siku chache zilizopita Meek Mill aliweka headlines Brooklyn Marekani baada ya kumshambulia shabiki aliyekuwa ameshika bango la Drake kwenye tamasha la Fool's Gold Day Off Festival tamasha ambalo Meek Mill…
Real Madrid wako tayari kumuuza Cristiano Ronaldo kwenda PSG, ila…
Klabu ya Real Madrid ya Hispania ni klabu ambayo inasifika kwa kupenda kununua wachezaji kwa gharama ya juu maadam iwe inamuhitaji basi itatoa fedha ili kukamilisha usajili wake. Headlines ambayo ipo…
Idadi ya wanaoutaka Urais FIFA yaongezeka…Huyu mwingine katangaza nia!!
Uchaguzi wa Rais wa Shirikisho la soka duniani umepangwa kufanyika Februari mwakani na tayari kuna baadhi ya wanamichezo wamejitokeza kuwania naasi hiyo. Wengine ni Rais wa shirikiso la soka barani Ulaya…
Paul Kagame anarudi Madarakani mwaka 2017? Hii hapa kutoka Mahakamani Rwanda..
Mahakama Kuu Rwanda imepokea Shauri kutoka Vyama vya Upinzani Rwanda ambavyo vinahitaji Rais Paul Kagame asigombee Urais kwa awamu nyingine tena baada ya kumaliza awamu mbili za kuiongoza Nchi hiyo.…
Hizi ni sababu za viongozi wa Tottenham Hotspur kumkataza mchezaji huyu kununua gari lenye rangi nyekundu…
Klabu ya Tottenham Hotspur ambayo makao makuu yake ni jiji la London imemzuia winga wa kimataifa wa Korea Kusini Son Heung-Min kununua gari lenye rangi nyekundu. Spurs ambao wanajiandaa na mchezo wa…
Ishu ya Kassim Mganga kutapeli show Iringa ni kweli? Stori ipo kwa Soudy Brown..#Uheard (Audio)
Soudy Brown leo kapiga Stori na DJ mmoja ambae amesema kwamba staa wa Bongo Fleva, Kassim Mganga ilikuwa akafanye show Iringa lakini tayari alikuwa amepewa hela kwa ajili ya show nyingine Njombe. Wakati…
Kiwanda cha Tanganyika packers kurudi?, majibu yako hapa…
Inawezekana ulikuwa na maswali mengi kuhusu shughuli za viwanda nchini kikiwemo kile cha Tanganyika Packers sasa basi leo tumempata majibu kwa Katibu mkuu wa wizara ya Viwanda na Bishara, Uledi…
Pichaz TBT za mastaa wako Kanye West, Jay Z,Chris Brown,Beyonce ninazo hapa mtu wangu…
Hapa nimekuwekea TBT za mastaa mbalimbali wanaofanya vizuri katika industry ya muziki duniani. Unaweza kuzitazama hapa mtu wangu.. PAPO KWA PAPO zipate…