Headlines baada ya headlines Indonesia, kuna hii nyingine ya ndege kupotea
Indonesia imekua kwenye rekodi mbaya ya ajali za ndege huku ajali mbili za ndege zimeripotiwa ndani ya mwaka mmoja uliopita ikiwemo Indonesia Air ilianguka katika bahari ya Java ikitoka Sura…
Ninayo list ya wachezaji warefu na wafupi katika Ligi Kuu Uingereza (Picha)
Katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana na hii list ya wachezaji warefu zaidi katika Ligi Kuu Uingereza na wafupi zaidi katika Ligi Kuu Uingereza, nimeona nikusogezee Top 5 ya mastaa wa…
Video ya magoli ya Simba vs URA Aug 15 2015! Full Time 2-1
August 15 2015 ilikua siku nyingine kubwa kwa mashabiki wa Simba na URA ya Uganda sababu timu hizi mbili zilikutana kwenye mechi iliyopigwa uwanja wa taifa Dar es salaam ambapo…
Olamide karudi tena kwenye headlines na hii nyingine ‘Lagos Boys’…(Video)
Staa wa Nigeria Olamide ameachia video ya Single yake mpya inayoitwa 'Lagos Boys'. Nakukaribisha kuitazama hapa mtu wangu... https://www.youtube.com/watch?v=ie8DU7P1rY0 PAPO KWA PAPO zipate habari zote zinazonifikia za siasa muziki, michezo,…
Mgombea Urais ACT leo, Mabomu msafara wa LOWASSA na Mrithi wa Askofu MALASUSA..#StoriKubwa
MWANANCHI Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa jana kwa mara ya kwanza alikumbana na joto la upinzani baada ya msafara wake kushambuliwa na mabomu ya polisi.…
Picha nyingine za Edward Lowassa Arusha kwenye mkutano.
Safari ya Mgombea Urais wa CHADEMA na UKAWA, Edward Lowassa kutafuta Wadhamini Mikoani ilianza August 14 ambapo alishuka Mbeya katika Viwanja vya Shule ya Ruanda Nzovwe, alafu August 15 2015…
Magazeti ya Tanzania Agosti 16, 2015.. michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili Agosti 16,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo…
Pichaz kutoka Dar es Salaam kwenye Fainali ya Kinondoni Talent Search, Rais JK Mgeni Rasmi..
Safari ya Vijana ambao waliamua kufungua milango kuelekea ndoto zao, kutumia vipaji vyao ili viwe ajira kupitia Mchakato wa Kinondoni Talent Search, usiku wa August 15 2015 tayari imefikia hatua…
Show ya Party in The Park yafana jijini Dar es Salaam….(pichaz)
Ni Agosti 15 ambapo wakali kutokea Afrika Kusini, Mafikizolo, Black Motion, XOLI M, Beatenberg walishea jukwaa moja na Sauti Sol, Ali Kiba, Feza Kessy kwenye show iliyopewa jina la Party…
Matokeo ya mechi ya Simba Vs URA yapo hapa (Full time)
Klabu ya Soka ya Simba imerudi uwanjani August 15 kupimana nguvu na URA ya Uganda mchezo umemalizika kwa kwa timu ya Simba ambayo ndio mwenyeji wa timu ya URA kuibuka…