Picha za Ommy Dimpoz aki-shoot video ndani ya London
Omari Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz kwa muda mrefu yupo London ambapo ametumia muda huo kuangalia mechi za ligi ya uingereza pamoja na kuhudhuria show ya Beyonce na Jay Z…
Video ya Jux iliyosimamishwa Tanzania yaanza kurushwa Channel O
Video ya Uzuri wako kutoka kwa msanii Jux imezuiliwa kurushwa kwenye vituo vya TV kwa hapa Tanzania kutokana na sababu za zilizosemekana kuwa ni za kimaadili. Leo hii 6/3/2014 Jux…
Hii ndio rekodi mpya ya mabao aliyoiweka Cristiano Ronaldo
Cristiano Ronaldo ameandika historia mpya katika soka jana usiku kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Cameroon ambapo Ureno walishinda mabao matano kwa moja. Ronaldo ambaye alifunga mabao mawili kwenye mchezo…
Alichosema Kelvin Yondan kuhusu namna ya kucheza ugenini dhidi ya Al Ahly
BEKI wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani ‘Vidic’, ameibuka na kudai kuiua Al Ahly kwao inawezekana kabisa, lakini itakuwa hivyo kama tu wachezaji wote watacheza kwa ushirikiano na kusaidiana uwanjani…
Okwi sasa adaiwa billioni 2 za kitanzania na klabu hii
KLABU ya Etoile du Sahel ya Tunisia imewasilisha barua ya kurasa tatu Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) ikimtaka mshambuliaji wa Yanga, Emmanuel Okwi awalipe Dola 1.3 milioni za Kimarekani…
Breaking:Bunge laahirishwa,sababu ipo hapa.
Kutoka Mjengoni Dodoma Bunge la kujadili katiba limehairishwa na Mwenyekiti baada ya kutokea kwa vurugu baada ya kutoelewana kwa baadhi wabunge kati ya Mh. Aboubakary ambaye ni Mwakilishi Mkuu wa…
Huyu ndio mchezaji atakayekuwa akilipwa fedha nyingi baada ya Ozil Arsenal
Baada ya kufanya vizuri sana katika klabu ya Arsenal msimu huu, uongozi wa klabu hiyo sasa upo tayari kumuongeza mkataba mpya kiungo Aaron Ramsey. Kwa mujibu wa taarifa zilizogaa kwenye…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo March 06 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Matokeo ya Ujerumani vs Chile – Ozil na Gotze wafanya yao
Ushirikiano wa kiungo wa Bayern Munich Mario Gotze na kiungo wa Arsenal Mesut Ozil ulizaa matunda jana usiku katika mchezo wa kirafiki baina ya Ujerumani dhidi ya Chile. Wachezaji wawili…
Video: Brazil vs S.A – Hiki ndicho Neymar na wenzake walichoifanya South Afrika jana
Mabao matatu ya mwanasoka Neymar anayekipiga Barcelona, yaliisaidia timu ya taifa ya Brazil kuiadhiri South Afrika katika rdhi ya nyumbani kwao. Katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliochezwa huko South…