255 ya leo December 18 iko hapa, Dr. Dre, Ray C ni baadhi ya waliosikika kwenye hii ya leo
Kwenye 255 ya leo December 18 story zilizosikika ni pamoja na zawadi aliyoitoa Dr. Dre, wimbo mpya wa msanii Ray C na pia kuhusu taarifa zilizotoka kwenye msiba wa Aisha…
Mabibi na Mabwana, Mirror katuletea hii video mpya yenye dakika 4 itazame hapa
Mirror ni msanii ambae yuko chini ya usimamizi wa kampuni ya Endless Fame mwigizaji Wema Sepetu time hii amekuletea hii video mpya ya single 'Kolo Kolo' imeongozwa na Meja. Itazame…
Hekaheka ya leo December 18 iko hapa, ni muendelezo wa ile ya bwana harusi aliyepatwa mauzauza Tanga
Hekaheka ya leo December 18 inatokana na ile ambayo ilisikika kwenye Leo Tena ya December 11 ambapo ilikuwa inatoka Tanga ambapo jamaa mmoja mwenyeji wa Tabora alikwenda huko kwa lengo la…
Umeiona hii mpya ya Radio na Wesal wa Uganda waliyomshirikisha Wizkid?
Najua ungetamani kuiona video yenyewe baada ya kusikia kuna muunganiko wa msanii wa Nigeria Wizkid na Radio na Weasel wa Uganda kwenye kolabo hii iitwayo 'Don't cry' https://www.youtube.com/watch?v=A4pF8xqO_E8
Hizi ndio picha za watanzania wanaofanana na Bruno Mars,Ngwea,Diamond,shetta walipojitokeza
Mtangazaji wa XXL ya Clouds FM,Adam Mchomvu ndio aliendesha zoezi la kumtafuta mtanzania aliefanana na staa yeyote tunaemfahamu (StarLookAlike) lililofanyika Dec 16 XXL After school bash Dar es salaam. Baada…
Kipisi kutoka kwenye video mpya ya ‘mwana’ ya Ali Kiba na ilivyopangwa kutolewa.
Miezi inahesabika toka itoke hit single ya 'mwana' ya Ali Kiba ambayo iligusa mpaka namba 1 kwenye 20 bora za CloudsFM na kukaa kwa zaidi ya wiki tano kwenye namba…
Nakusogezea na hii Lighters up ya Diva Dar es salaam
Ni time nyingine tena ya kuishuhudia event iliyoandaliwa na Divas Wild Events Jumapili hii ikiwemo kuwaona Linex, Peter Msechu, Barnaba na Mirror kwenye stage ambapo baadae December hii ile charity…
Dr. Dre katoa zawadi ya Christmas kwa timu yake, eti kutoa ni moyo au utajiri?
Zawadi.. Zawadi.. Zawadi... Sikukuu ya Christmas haiko mbali sana, wapo wanaotoa zawadi na wapo wanaopokea pia katika kipindi hiki. Tajiri, Rapper mkongwe kutoka Marekani ambaye ni juzi tu Dunia nzima…
Airtel wamekusogezea na hii kwenye msimu huu wa sikukuu
Furaha ya sikukuu hii inaongezewa nguvu na Airtel ambao wamekusogezea zawadi mbalimbali kuhakikisha unafurahia time hii zaidi ya ulivyotarajia, tazama hii video hapa chini kwa maelezo zaidi. https://www.youtube.com/watch?v=fCbuZAGt-tM
Umesoma makubwa yaliyoandikwa na Magazeti ya Tanzania leo December 18? Yako hapa
millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headlines mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za…