Kama upo Dar,leo Maisha Club kuna hii.
Maisha club ndio club pekee Tanzania inayojaribu kuwaunganisha Watanzania kwenye mikoa mbalimbali kwenye sekta ya Burudani kwa kuwa na matawi kwenye mikoa kadhaa ya Tanzania,ambayo mpaka sasa Maisha Club ipo…
Baada ya mashabiki 10,000 kumkataa Cleverley timu ya taifa, kocha Roy Hodgson awajibu
Siku chache baada mashabiki kupeleka ombi rasmi la kumzuia mchezaji Tom Cleverley kuitwa kwenye kikosi cha England kitakachoshiriki kwenye michuano ya kombe la dunia 2014 huko Brazil, leo hii kocha…
Dakika 8 za Nikki wa II akiongea kuhusu Lord Eyez on AyoTV
Ni stori ambayo imeanza kusambaa toka March 4 2014 kwamba kampuni ya WEUSI ambayo Wanachama wake ni Joh Makini, Nikki wa II, G Nako, Bonta na Lord Eyez, imemsimamisha kazi…
Huyu ndio mama mzazi wa Nicki Minaj, ameanza kuimba na yeye.. msikie hapa
Kama ilivyo kwa msanii kama Dully Sykes ambae yeye na baba yake wote wanafanya muziki, ndio imetokea hivyo pia kwa rapper Nicki Minaj wa Young Money ambapo mama yake mzazi…
Sikiliza hapa Magazeti yakisomwa Redioni leo March 05.
Karibu usikilize uchambuzi wa Magazeti leo March 05 kupitia Power Breakfast ambapo hapa utapata kusikiliza alichokizungumza Rais Jakaya Kikwete kuhusu kinachoendelea kwenye bunge la katiba huko Dodoma,sikiliza kupitia 104.4 Clouds…
Magazeti ya leo March 05 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Wajue watu maarufu wa Tanzania ambao Jux anawakubali kwenye kupendeza.
Mara nyingi ikitajwa listi ya watu maarufu wanaojua kupendeza basi jina la Jux huwa halikosi kwenye hiyo list. Hata wakati mwingine akitajwa kuwa yeye ndiyo mkali wa kupiga pamba kwa…
Habari 10 za Amplifaya March 4 2014.
Amplifaya ni show ambayo ipo Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku on CLOUDS FM ambayo inahusika kuzihesabu habari 10 kubwa za siku kutoka kwenye siasa, muziki, michezo, movies, maisha…
Cheki megamix video ya jinsi kigodoro ndani ya Dar Live kilivyoenda.
Kwenye hii video utamuona mkali wa vigodoro anaitwa Msagasumu akiwapagawisha mashabiki wake ndani ya Dar Live ambapo kulifanyika uzinduzi wa movie ya Kigodoro. Kitu kingine ni pale Wema Sepetu alipoimba…
Msikilize Mbwiga wa March 4 2014
Hizi ni taarifa za kimichezo anazozi-amplify Mbwiga wa Mbwiguke kila Jumatatu mpaka Ijumaa kupitia Sports Extra ya Clouds Fm,sikiliza kupitia 87.8 Clouds Fm Mbeya. Bonyeza play kusikiliza.