Jinsi ambavyo madereva Boda boda Mbeya walipoamua kuondoka na mwili wa Marehemu Kanisani.
Madereva boda boda kutoka Uyole-Mbeya wameingia kwenye headline baada ya kuamua kuondoka na mwili wa marehemu Gabriel Osward Ngalele ambaye alikua pia ni dereva boda boda mwenzao. Tukio hilo limetokea…
Magazeti ya leo Alhamisi January 16 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Dakika 20 za kusikiliza Magazeti ya leo January 16 yakisomwa Redioni.
Kuperuzi na Kudadisi inatoa nafasi ya kusomewa kilichoandikwa kwenye kurasa mbalimbali za magazeti ya siku husika,kupitia millardayo.com pia unasikiliza huo uchambuzi wa magazeti endapo pengine wakati yanasomwa haukua karibu na…
Namna ambavyo Tbs walivyoendesha operesheni kataza kuuza nguo za ndani za mitumba
Januari 15 wafanyabiashara wa nguo za ndani wa soko la Karume hawakuimaliza vizuri siku hii baada ya Shirikia la Viwango Tanzaniakwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Nchini kuendesha operesheni ya…
Msikilize Mbwiga leo Jan 15
Imalize siku yako kwa kumsikiliza Mbwiga wa Mbwiguke,na ameongelea kilichomkuta mtunza pesa wa timu ya Simba wakati wakati gari yao ilipoharibika,Sikiliza kupitia 88.4 Clouds Fm Mtwara. Bonyeza play kusikiliza.
Picha kutoka kwa Beyonce jinsi alivyosherekea birthday ya mwanae Blue Ivy
Blue Ivy ametimiza miaka 2 tangu azaliwe na siku ya birthday yake Beyonce na Jay Z walikodi Zoo kwa ajili ya kusherekea pamoja na marafiki zao. Beyonce kupitia mtandao ame-upload…
Umeshausikia wimbo mpya wa Peter Msechu?
Hii ni nafasi yako ya kusikiliza na ku-download wimbo mpya wa Peter Msechu “Fire”
Hii ni taarifa ya kusikitisha inayomuhusu Rich Mavoko.
Leo January 15 Rich Mavoko kupitia ukurasa wake wa instagram ametoa taarifa za kusikitisha na marafiki zake wengi wameanza kumpa pole kupitia mtandao huo. Rich Mavoko ameandika,
Tamko la wenyeviti wa Ccm Tanzania bara baada ya kauli ya Mgana Msindayi
Wenyeviti wa CCM mikoa ya Tanzania bara wametoa tamko la kumkana Mwenyekiti wa Umoja wa Wenyeviti CCM Taifa Mgana Mzindakayi la kutowauza wenyeviti wenzake kwa watu wanaotarajia kugombea urais kabla…
Walichokisema Bakwata juu ya wanaopora kwenye misikiti.
Baraza kuu la waislamu Tanzania (BAKWATA) limekemea vitendo vinavyofanywa na baadhi ya waumini wa dini hiyo ya kuvamia na kupora misikitini na kusbabisha uvunjifu wa amani,akitoa salam za baraza hilo…