Unafahamu kilichomfanya Mnigeria kuruka ukuta wa Ikulu ya Marekani? Kisome hapa.
Moja ya taarifa zilizochukua headline wiki iliyopita ni kuhusiana na tukio la mtu mmoja kuruka ukuta wa ikulu ya Marekani, na baadaye kukamatwa baada ya kushambuliwa na mbwa kabla ya…
Unafahamu kilichoandikwa kwenye mitandao ya kijamii Nigeria kuhusiana na msanii Wizkid? Kisome hapa.
Taarifa zilizoenea mitandao mbali mbali ya Nigeria saa chache zilizopita zinazungumzia tukio kutoka Kenya linalohusiana na kukamatwa kwa msanii wa Nigeria Wizkid ambaye alishikiliwa na na jeshi la Polisi nchini…
Muuguzi kuishtaki Serikali kwa kumuweka karantini.
Siku chache baada ya New York na New Jersey kutangaza utaratibu mpya wa kuwaweka karantini wauguzi na madaktari waliotoka kuhudumia wagonjwa katika nchi zilizoathiriwa na Ebola, muuguzi wa kwanza kuathiriwa…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo October 28 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
China kufuta hukumu ya kifo?
Bunge la China limeazimia kuondoa hukumu ya kifo kwa baadhi ya makosa ambapo rasimu ya mapendekezo ya marekebisho ya katiba tayari imewasilishwa katika bunge la nchi hiyo. Rasimu ya mabadiliko…
Kingine alichozungumza Jackie Chan kuhusiana na mtoto wake kukamatwa na dawa za kulevya.
Mkali wa movie kutoka Hong Kong China, Jackie Chan ameomba vyombo vya habari ‘vijichunge’ na namna vinavyoandika taarifa kuhusiana na kitendo cha mtoto wake kukamatwa na dawa za kulevya kwa…
Drake ameingia kwenye headline nyingine inayohusu ugomvi, isome stori yake hapa.
Drake amekuwa moja ya mastaa ambao wamekuwa wakikaa kwenye headlines mara kwa mara kutokana na sababu mbali mbali. Safari hii Drake ameangusha kitita kikubwa cha fedha wakati akiwa anaharakisha kuingia…
Umesikia hukumu ya Nahodha,wasaidizi wake kwa kuzamisha meli? Isome hapa
Upande wa mashtaka wa kesi inayowakabili nahodha Lee Joon-seok (68) na wenzake 11 waliokuwa wafanyakazi katika meli iliyozama mwezi Machi mwaka huu Korea Kusini wameitaka mahakama ya nchi hiyo hukumu ya…
Story 12 Hot kutoka Magazeti ya leo October27
UHURU Uhaba mkubwa wa dawa na vifaa vya tiba umezikumba hospitali nyingi nchini zikiwemo Muhimbili na Ocean Road kutokana na Serikali kudaiwa zaidi ya bilioni90 na Bohari kuu ya dawa…
Magazeti ya leo October 27 2014,Udaku,Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…