Huyu ndiye mwanariadha aliyefariki kwa ajali
Mbulaine Mulaudzi ambaye alikuwa mwanariadha mahiri nchini Afrika Kusini amefariki kwa ajali akiwa safarini kuelekea Johannesburg kushiriki kikao cha wanariadha. Rais wa chama cha kimataifa cha riadha (IOC) Thomas Bach…
Upendo ulivyosambazwa kwenye Fiesta Kigoma October 25 2014
Ilikua ni zamu ya Kigoma ( 89.3 CloudsFM) kusambaziwa upendo wa tamasha la Fiesta ambalo mwaka huu wa 2014 limefanyika kwenye miji 18 ambapo Kigoma na Mtwara ndio imekua miji…
Umesikia story inayohusu Mbunge kurushiana risasi na mtoto wake? Isome habari yake hapa
Taarifa zilizoenea mitandaoni saa chache zilizopita, zinahusiana na tukio la kurushiana risasi baina ya aliyekuwa Naibu Waziri wa zamani wa Afya na Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki Dk. Lucy Nkya…
Full Time ya mechi za leo October 25 Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara.
Ulikua mbali na TV leo? ulitamani kupata matokeo kujua kwenye viwanja mbalimbali vya Tanzania imekuaje baada ya wakali wa soka kukutana? matokeo ndio haya Ni halali yako kupata kila stori…
Mwanamke aliyejinusuru kubakwa na kumuua mbakaji, ahukumiwa kunyongwa.
Reyhaneh Jabbari mwenye umri wa miaka 26 amehukumiwa kunyongwa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mtu mmoja ambaye alifanya jaribio la kumbaka. Taarifa iliyoripotiwa na CNN inasema mwanamke huyo…
Stori 8 Kubwa Magazeti ya Leo October25
MWANANCHI Vigogo wizara ya kilimo, chakula na ushirika akiwamo Katibu mkuu Sophia Kaduma, wametimuliwa mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) baada ya kutoa majibu…
Magazeti ya leo October 25 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Breaking: Polisi wamezungumza kuhusu Chidi Benz kukamatwa Airport leo na dawa za kulevya
Kuna taarifa zilitoka on millardayo.com leo jioni kuhusu msanii wa muziki wa kizazi kipya Chidi Benz kukamatwa na dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere…
Upasuaji wa maumbile wapelekea mwanamke kufariki
Mwanamke mmoja amefariki wakati akifanyiwa upasuaji wa kurekebisha maumbile. Mwanamke huyo raia wa Uingereza mwenye umri wa miaka 24 amefariki nchini Thailand alikokwenda kufanyiwa upasuaji huo, ambapo taarifa kutoka nchini…
#Breaking: Chid Benz kakamatwa na Polisi Airport
Najua kama umekua karibu na simu yako leo mitandao ya kijamii hasa Whatsap na twitter inaweza kuwa imetumika kukufikishia Taarifa zilizoanza kuzungumziwa na watu mbalimbali saa kadhaa zilizopita kwamba msanii…