Dakika 3 za Hemedy PHD na Gelly kwenye hii video mpya!
Gelly wa Rhymes na Hemedy PHD wamekua friends ambao kazi yao kubwa ya movie wanaifanya pamoja lakini kazi yao nyingine ikibaki palepale ambayo ni kufanya muziki wa bongofleva. Ninayo furaha…
Ali Kiba amewataja Wasanii waliomfurahisha kwenye stage ya Fiesta Leaders.
Ni week ambayo imefatana na weekend iliyoacha kumbukumbu nzuri kwa watu mbalimbali waliohudhuria tamasha la Fiesta ambalo mwaka huu limechukua headlines za rekodi kubwa ya mahudhurio karibu kila sehemu lilikopita…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo October 21 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Umeisikia mpya kuhusu Ebola ndani ya Marekani? Stori kamili iko hapa
Ni kawaida kusikia mtu kapewa ‘a.k.a’ ambayo lazima kuna kitu kilichopelekea akapewa a.k.a hiyo, huenda ikawa ni muonekano wake, tabia, mavazi ama kitu chochote kile kinachohusiana na yeye. Watu wamekuwa…
Unafahamu kuhusu hukumu ya Oscar Pistorius? Isome hapa.
Mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius(27) ambaye amekutwa na kesi ya bila kukusudia yuko katika wakati mgumu baada ya kukutwa na hatia ya mauaji. Kutokana na kukutwa na hatia ya…
Unafahamu zawadi aliyopewa T.I na Boss wa Clouds Media Group? iko hapa
Mfalme wa Kusini,Clifford Joseph Harris, Jr aka T.I baada ya kuacha historia kubwa Tanzania katika Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 Oct 18 Leaders Club Dar es Salaam, Mkurungenzi Mtendaji wa…
EPL: Matokeo ya Man United vs West Brom
Baada ya mapumziko ya takribani wiki mbili, usiku wa leo jumatatu Manchester United wakasafiri kwenda kuumana na West Bromwich Albion katika mchezo wa raundi ya 8 wa Barclays Premier League.…
Umeisikia stori ya Boko Haram kuigeuka serikali ya Nigeria? Isome hapa.
Siku chache baada ya vyombo mbali mbali vya habari kuripoti kuhusiana na serikali ya Nigeria na kikundi cha wapiganaji wa Boko Haram kufanya makubaliano ambayo yalijenga matumaini ya kuachiwa huru…
Unafahamu namna watu hawa walivyopona Ebola? Stori iko hapa
Taarifa kuhusiana na Ebola zimekuwa zikichukua headlines kila siku katika vyombo mbali mbali vya habari duniani, tangu uliporipotiwa kulipuka huko Afrika Magharibi. Mlipuko wa Ebola umeelezewa kusababisha vifo na maambukizi…
Sentensi 4 za Uongozi wa Diamond Platnumz kuhusu kilichotokea kwenye Serengeti Fiesta 2014 Dar es salaam.
October 18 ilikua ni siku maalum ya Wakazi wa Dar es salaam kula bata kwenye msimu wa mafanikio ambao unapita mara moja kila mwaka kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania. Ilikua…