Magazeti ya leo October 12 2014 Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Angalia trailer ya filamu ya maisha ya Lionel Messi
Unapokuwa mchezaji bora wa duniani, unahitaji filamu itakayokuelezea maisha yako halisi, Lionel Messi amefanikiwa kupata bahati hii ya kutengenezewa filamu. Filamu hiyo iliyoongozwa na director Alex De La Iglesia, pamoja…
Magazeti ya leo October 11 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Picha 7 za ajali aliyoipata msanii Baba Levo, kuna wengine wamefariki.
Mchana wa saa tisa October 10 2014 Baba Levo ambae ni msanii wa bongofleva aliipigia simu millardayo.com na kutoa taarifa za ajali aliyoipata saa saba mchana akitokea Tabora kuelekea Mpanda…
Young Killer amerudi tena kwenye kioo chako na hii video mpya ya ‘umebadilika’
Kwenye mfululizo wa single zake alizowahi kutoa hii ni ya 5 ikiwa ni baada ya Dear Gambe,Jana na Leo,Mrs. SuperStar,My Power na hii inaitwa Umebadilika ambapo mwanzoni ilifanywa Classic Sound…
Stori 10 za AMPLIFAYA October 10 2014 ziko hapa tayari..
Amplifaya ni Countdown inayozikutanisha habari 10 kubwa za siku on CloudsFM Jumatatu mpaka Ijumaa saa moja usiku kutoka kwenye viwanja mbalimbali kama michezo, muziki, movies, maisha, siasa na mengine. Za…
Rais Museven amekataa watu kusalimiana…. kwa nini?
October 9 2014 nchi ya Uganda iliazimisha uhuru wake huku rais wake Yower Museven akizungumza mambo muhimu matatu kwa wananchi wake ambapo ishu ya kwanza ni kuwataka wananchi wake kuwa…
BREAKING: Msanii wa bongofleva Baba Levo amepata ajali… maelezo yako hapa
Ni saa tisa kasoro mchana Msanii wa bongofleva Baba Levo anaipiga simu millardayo.com na kuongea kwa tabu kwenye usikivu ulio mdogo na kusema kwamba amepata ajali kwenye pori karibu na…
Stori 7 hot kutoka kwenye magazeti ya leo October 10 2014
HABARILEO Watu saba wameuawa na nyumba zaidi ya 20 kuteketezwa kwa moto katika vurugu zinazodaiwa kuanzishwa na wanakijiji Wilaya ya Kasulu chanzo kikiwa imani za kishirikina ambapo habari zilizothibitishwa na Polisi…
@Fid Q na Young Killer @Ymsodoki wameangukia mikononi mwa Nisher, picha zao 6 ziko hapa na video fupi.
Wakali wa hiphop kutoka Mwanza (88.1 CloudsFM) Young Killer na Fid Q wameingia kwenye headlines na director Nisher ambae ni mshindi kwenye Tuzo za watu 2014 ambapo kinachofanyika ni video…