Magazeti ya leo Jumamosi September 27 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Dakika 5 za Darasa akijibu tuhuma za kutapeli #Gossip Cop
You heard ya Alhamisi alisikika dada ambaye amedai kuwa ametapeliwa na Rappa Darasa kwa madai ya kumpeleka studio kurekodi kwenye studio za AM Records chini ya Producer Maneck. Majibu ya…
Kama hujaiona video mpya ya Rich Mavoko ni hii hapa inaitwa Pacha wangu.
Hii ni video mpya kutoka kwa Rich Mavoko ambayo mpaka sasa imezungumzika kwa kiasi kikubwa na wadau wa muziki licha ya kuwa ina saa chache tu tangu itoke rasmi kwenye…
Madai ya Rapa Darasa kudaiwa kumtapeli mtu part 1 #Gossip Cop
Gazeti la Makorokocho ambalo linahaririwa na Soudy Brown leo limeshuka na stori inayomhusu Rapa Darasa kusemekana kumtapeli msichana kwa madai ya kumpeleka studio kurekodi. Hii ni nafasi ya kumsikiliza dada…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo September 26 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Umeipata hii ishu ya Condom iliyotoka kwenye bunge la Uganda?
Ripota wa TZA (millardayo.com na AyoTV) Uganda Bill the African ameripoti kutoka kwenye bunge la nchi hiyo kwamba Wanaume kutoka kaskazini mwa Uganda wamefikisha maombi kwa Wabunge wao kuhusu ishu…
Wale wenye ugonjwa wa nyumba nzuri… hii ya leo iko Estonia!
Ni kawaida ya millardayo.com kukuletea mara kwa mara picha za nyumba nzuri zilizojengwa kisasa kutoka sehemu mbalimbali za ulimwengu ili angalau ikuletee mawazo mapya au kukupa idea ya nini cha…
Hukumu ya muuguzi aliesababisha kifo cha mjamzito mwaka 2009.
Kwenye moja kati ya taarifa kubwa za Kenya September 25 2014 ni pamoja na hii ya Muuguzi mmoja ambae kesi yake ilianza kusikilizwa toka mwaka 2009 nchini humo kwenye kaunti…
Kilichowakuta CHADEMA walioandamana Mwanza Sept.25
Kutoka 88.1 Mwanza ambapo Polisi wamekamata viongozi sita na wafuasi kadhaa wa (CHADEMA) waliokuwa wakijiandaa kuandamana baada ya kukaidi amri ya polisi kusitisha maandamano. Ni September 25 saa 5.40 asubuhi…
Rais Kikwete akikasirika au mtu akimuudhi nyumbani huwa inakuwa hivi….
Labda inawezekana hii ikawa mara yetu ya kwanza kusikia upande wa pili wa President wetu wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete ambae tumezoea tu kumuona akihutubia, akijumuika na…