Ulitamani kujua mwanamke anayetarajiwa kuolewa na Profesa Jay?kamtaja huyu.
Miongoni mwa manguli wa muziki wa Bongo Fleva Profesa Jay ambaye pia yuko kwenye list ya mastar walioufanya muziki wa Tanzania kupata nafasi ya kukubalika na kuheshimika. Profesa Jay ambaye…
Serengeti Super Nyota Divaz Shinyanga imekamilika na mshindi ni huyu.
Mashindano ya Serengeti Fiesta Super Nyota Divaz ni miongoni mwa vihusishi vya tamasha la Serengeti Fiesta ambalo kwa Shinyanga bado halijafanyika kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya matatizo yaliyotokea Musoma…
Kilichoikuta Taifa Stars kwenye mechi dhidi ya Burundi hiki hapa
Timu ya taifa ya Tanzania leo ilikuwa jijini Bujumbura Burundi kukupiga na timu ya taifa ya nchi hiyo kwenye mchezo wa kirafiki. Taifa Stars leo hii imeambulia kipigo cha mabao…
Sakata la Okwi kuhusu Yanga na Simba,hili hapa tamko la TFF.
Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana leo (Septemba 7) na kupitia masuala mbalimbali ikiwemo mgogoro wa kimkataba kati ya klabu…
Na haya ndio makubwa yaliyoandikwa na Magazeti ya leo Sept 7 Tanzania
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku kuanzia ya Udaku, michezo na hardnews kabla ya saa mbili kamili asubuhi, ukishayasoma ya leo unaweza kuwa mwanafamilia wa…
Kifo kingine tena, ni Simone Battle wa X Factor kafariki.
Simone Battle ambae alikua ni mshiriki kwenye shindano la X Factor mwaka 2011 na vilevile mwimbaji kutoka kundi la waimbaji wa kike la G.R.L amekutwa amefariki nyumbani kwake Los Angeles…
Tofauti kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Marais wengine wa Kenya.
Ripota wa TZA (millardayo.com na AyoTV) Kenya Julius Kepkoich anatiririka kwamba Uhuru Kenyatta ametajwa kama rais anayejitokeza kwa njia ya kipekee toka Kenya ianze kutawaliwa akiwa pia ni rais wa…
Hii ya Majambazi kuvamia kituo cha Polisi Geita uliipata?
Pamoja na idadi ya matukio mengi ya Majambazi Tanzania imekua ni nadra sana kusikia Majambazi wamevamia kituo cha Polisi na kusababisha mauaji ya askari pamoja na kuiba silaha. Kwa mujibu…
Video mpya ya Feza Kessy ‘my papa’ inatimiza mwezi, ulishaitazama?
Shindano la Big brother Africa mwaka 2013 ndio liliifanya Afrika ikamfahamu mtu anaitwa Feza Kessy ambae siku kadhaa kabla ya kujiunga na washiriki wenzake kwenye hilo jumba alikua amerekodi video…
Ni kweli Nay wa Mitego yuko serious na namba 966 mpaka kuichukulia gari?
Kama wewe ni msikilizaji wa nyimbo za mkali wa bongofleva Nay wa Mitego nina uhakika utakua umeisikia sana namba 966 ambayo huitaja sana kwenye mashairi yake lakini mpaka sasa hajawahi…