Stori kuhusu helikopta ya Dr. Slaa na Mnyika kutaka kulipuliwa Shinyanga.
Naibu Waziri wa Nishati ametajwa kwenye njama za kutaka kumuua Katibu mkuu wa CHADEMA Dr. Slaa pamoja mbunge wa Ubungo John Mnyika kwa kuilipua Helikopta wanayosafiria. Magazeti ya Tanzania August…
Wema na Jokate walipokutana kwenye ndege leo
Jokate aliwahi kukiri kwenye exclusive na millardayo.com kwamba aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Diamond kwa muda usiozidi miezi miwili ambapo wakati yuko na Diamond zilitoka stori nyingi pia…
Maandalizi ya mwisho ya Serengeti Fiesta Mwanza 2014.
Hili ni jukwaa ambalo zaidi ya wasanii 10 watapanda kuwaburudisha wakazi wa jiji la Mwanza leo August 09 kuanzia saa 12 jioni ambapo pia ndiyo uzinduzi wa Serengeti Fiesta inapozinduliwa.…
Picha 5 za ajali ya kuungua kwa basi la 5 Aliance leo August 09.
Hili ni basi la kampuni ya 5 Aliance ambalo linafanya safari zake kati ya Mtwara na Dar es salaam limeungua asubuhi ya August 09 likitokea Mtwara kuelekea Dar es salaam.…
Namna ambavyo Wasanii watakaoperfoam Serengeti Fiesta walipokutana na mashabiki wao Usiku wa Aug 08 Mwanza.
Unajua Serengeti Fiesta mara nyingi huwa ni kama sikukuu ambayo ikifanikiwa kufika mkoani kwako hutamani kuikosa au hutamani kusimuliwa,usiku wa August 08 ni wasanii waliofika Mwanza kwa ajili ya Fiesta…
Magazetini leo August 09 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Miongoni mwa mechi za Serengeti Fiesta Soka Bonanza zinazoendelea mchana wa August 08 Mwanza.
Kutoka viwanja vya Polisi Mabatini hiki ndicho kinachoendelea ambapo ni sehemu nyingine ya party ya fiesta ambayo huwa inatanguliwa kabla ya tamasha lenyewe la Fiesta litakalofanyika August 09 kwenye uwanja…
Pichaz za baadhi ya Wasanii waliotua Mwanza tayari kwa ajili ya Serengeti fiesta kesho CCM Kirumba
Baada ya kupatikana kwa mshindi wa Super Nyota na washindi wa Dance la Fiesta ambao wote walipatikana jana kwenye ukumbi wa Jembe ni Jembe Beach Resort leo wasanii mbalimbali wameongea…
Sikiliza hapa Magazeti yakisomwa Redioni leo August 08.
Hapa nimekurekodia magazeti yakisomwa Redioni mtu wangu leo August 08 nakuletea kwa ajili ya kusikiliza kilichoandikwa kupitia kurasa mbalimbali za Magazeti na hii ni baada ya kupitia kurasa za mbele…
Magazeti ya leo August 8 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…