Picha jingine la action halali kwa liblary yako 2014.
Wataalamu wa mambo wanasema rekodi za Liam Neeson zinashawishi kila aliemuona kwenye movie yake ya 'Taken' aingie mfukoni na kulipia kumuona kwenye movie nyingine kwenye ukumbi wowote wa CINEMA. Unaambiwa…
Msikilize Mbwiga wa April 18.
Kila Ijumaa kupitia Sports Extra unapata nafasi ya kuusikiliza Udambwi dambwi wa Mbwiga moja kwa moja akiwa studio,tukiwa tunaelekea kwenye mechi ya watani wa jadi Simba na Yanga Mbwiga kazungumzia…
Ulisikia kuhusu kuvamiwa kwa M-rap?sikiliza kupitia You heard ya leo.
Hii inamhusu M-Rap Lion ambaye ni miongoni mwa Ma Rapa wenye Umri mdogo wanaofanya muziki wa Bongo Flava,siku nne zilizopita walivamiwa wakati akiwa anaelekea DarLive kwa ajili ya show pamoja…
Kwa wale mnaopenda nyumba za kisasa mnaweza kupata chochote kwenye hizi picha
Nchi za wenzetu zimeendelea na umekua utamaduni wa kawaida kujenga nyumba kwa kutumia vioo kwa asilimia kubwa kwenye madirisha na milango ila kwa bongo hii inakua ngumu. Inawezekana labda gharama…
Baada ya Trafiki feki sasa ni Mwanajeshi feki na jezi zake kwenye headlines
Iliwahi kutokea Tabata Dar es salaam akakamatwa askari feki wa usalama barabarani ambae ni mzee aelikua anavalia sare na madereva walikua wanajua kweli huyu ni askari na faini na rushwa…
Dakika 2 za Rais Jakaya Kikwete kuhusu wanaowasema vibaya Mwl Nyerere na Mzee Karume
Mijadala ya hapa na pale kuhusu utengenezaji wa katiba mpya imehusisha sana majina ya waasisi wa muungano wa Tanganyika na Zanzibar Hayati Mwalimu Nyerere na Mzee Karume na hii imemgusa…
Lupita Nyong’o anahusika kwenye movie zitakazoonyeshwa DSM kuanzia 18 April hadi 24 April, ratiba iko hapa
Kama una mpango wa kwenda kuangalia movie hasa weekend hii ya sikukuu unaweza kwenda kumuangalia Lupita Nyong'o akiwa kwenye uhusika mwingine tofauti ya ule wa 12 Years a slave. Movie…
Uamuzi uliotangazwa na Wizara ya fedha kwa UKAWA baada ya kususia vikao vya bunge la Katiba.
Wizara ya Fedha kupitia Naibu wake Waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba wametangaza uamuzi wa kufuta malipo ya Wabunge waliosusia vikao vya mchakato wa Katiba vinavyoendelea Dodoma. Uamuzi huu umetangazwa…
Kumbe Nahodha wa kivuko kilichozama hakuwa kwenye usukani wakati inazama.
Taarifa bado zinazidi kutoka juu ya kile kivuko ambacho kilizama kikiwa na idadi kubwa ya wanafunzi,taarifa zilizopo ni kwamba msaidizi wa tatu wa nahodha wa kivuko kilichozama anayeitwa Sewol ndiye…
Dakika 17 za kusikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo April 18.
Baada ya kuwa umevipitia vichwa mbalimbali vya Mgazeti,hapa nimekurekodia Magazeti tena yakisomwa na kuchambuliwa Redioni leo April 18 kupitia Power Breakfast na hapa yanasomwa na Abel Onesmo. 96.0 Clouds Fm…