Wale wa Rihanna, hizi ni picha zake 7 mpya kwa ajili ya Jarida.
Nilichelewa kufahamu kwamba kumbe mastaa wa dunia kama kina Rihanna wanapotokea kupiga picha kwa ajili ya majarida mbalimbali duniani hulipwa pesa tena pesa nyingi kwa sababu ya hiyo kazi. Hizi…
Magazeti ya leo April 11 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
50 Cent na mapenzi yake, amesemaje kuhusu kuwa na msichana kama Rihanna?
Kama hii ilikupita ni kwamba rapper 50 Cents ameeleza sababu ya kutokuweza kuwa na mwanamke kama Rihanna kwenye interview na show ya The rickey smiley ambapo pia amezungumzia kwanini mapenzi…
Mchekeshaji Mkenya akizungumzia tofauti ya Minyoo ya Rais na watu wa hali ya chini
Show ya TV ya Churchill imekua ikitufanya tuone vipaji mbalimbali vya Wachekeshaji mbalimbali wa Kenya ambapo kwenye post hii anahusika Eddie Butita ambae anaifafanua minyoo kwenye miili ya binadamu kutokana…
Hii ikufikie unaetumia muda mwingi wa siku kuketi nyumbani, kwenye gari au pengine
Ulikua unafahamu kwamba kuketi kwa muda mrefu ni hatari kwa afya yako? unaambiwa binadamu wa kawaida kwa sasa anakaa kwa muda wa saa nane mpaka saa tisa kila siku akiwa…
Ommy Dimpoz na WEUSI juu ya beat moja?
Kutokana na ile ishu ya wizi wa vitu mbalimbali kwenye gari la Ommy Dimpoz ambao 'inadaiwa' ulifanywa na rapper kutoka WEUSI (Lord eyez) labda ulihisi kunaweza kusiwe na uhusiano mzuri…
Mkusanyiko wa yaliyoandikwa na mastaa wa bongo fB twitter na instagram.
Chukua time yako kutazama/kusoma yaliyoandikwa na mastaa mbalimbali wa Tanzania wakiwemo Wanasiasa na Wasanii wa muziki wa bongofleva.
Kuhusu Ronaldo kukosa fainali ya Copa del Rey
Stori ambayo imethibitishwa na club ya Real Madrid ni kwamba staa wao Cristiano Ronaldo hatocheza kwenye mechi ya fainali ya Copa del Rey Jumatano wiki ijayo kutokana na kujeruhiwa. Kwa…
T.I.D anatualika kwenye hii. @TIDofficialone
Mara yake ya mwisho kuonekana kwenye stage ya show kubwa Dar es salaam ilikua mwaka 2013 ndio maana tuna kila sababu ya kuungana nae Jumapili hii ya April 13 pale…
Viwango vipya vya FIFA World cup.
Bara la Ulaya sasa hivi ndio linashika nafasi tatu za juu kwenye ligi ya FIFA/Coca-cola World Cup baada ya Portugal kupanda mpaka namba tatu ikiwafata Ujerumani kwenye nafasi ya pili…