picha za alichokifanya Ommy Dimpoz Muscat Oman.
Ijumaa ya March 28 2014 mwimbaji wa bongofleva Ommy Dimpoz alifanya show akiwa na Liveband huko Muscat Oman baada ya kulipwa hela ndefu ili afanye hiyo kazi ya kuburudisha akiwa…
Pichaz za uzinduzi wa Miss IFM ilivyokua.
March 28 IFM imefanyika party ya uzinduzi wa Miss Ifm 2014 ambapo kulingana na umaarufu wa washiriki hao kutoka chuo cha Ifm hupelekea kutoa washiriki kwenda ngazi ya Miss Tanzania…
Kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti leo March 29 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Lukas Podolski ni mchezaji wa Arsenal, tazama alichopost kuhusu Tanzania. @Podolski10
Haijajulikana Podolski alipataje hizi picha ila huyu hapa chini ni Mtanzania alievaa jezi ya staa huyu wa Arsenal ambapo hiki kitendo kimemfanya Podolski kumsifia huyu shabiki kwamba jezi imemtoa freshi…
Hii ndio ndege ya mashabiki wa Manchester United watakayopaa nayo kesho kumpinga Moyes?
Nilikua nacheki shaffihdauda.com ambayo ni website inayotoa stori za michezo ya ndani na nje ya bongo ambapo imetoa hii ripoti na picha kuhusu mashabiki wa Manchester United wanaochukizwa na mwenendo wa timu…
Watu wangu wa movie hii ndiyo ratiba kwenye theater zote kuanzia tarehe 28/3 hadi 3/4
Ratiba mpya kuanzia leo tarehe 28/3/2014 hadi 3/4/2014 imetoka na inahusisha movie mpya Captain America The winter soldier ambayo itaonyeshwa kwenye mfumo wa 3D. Pamoja na hiyo kuna movie nyingine…
Namna timu ya Ndanda FC ilivyopokelewa Mtwara Jioni ya leo March 28.
Timu ya Ndanda Fc kutoka Mtwara imekuwa timu ya pili kukata tiketi ya kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya Jumatatu ya March 24 kuibuka na ushindi wa mabao…
Ni mvua iliyonyesha kwa saa kadhaa tu lakini magari yamezama hivi Dar es salaam
Ukimuuliza mwenyeji yeyote wa Dar es salaam (88.5 Clouds FM) ni sehemu gani anazozijua wanakaa watu wenye uwezo wa kifedha na hata baadhi ya viongozi wakubwa wa Serikali, basi lazima…
Mvua zinazoendelea kunyesha Dar,huyu ndiye msanii aliyepata madhara ya kubomoka nyumba yake
Mvua ambazo bado zinaendelea kunyesha jijini Dar na sehemu zingine na nchi ya Tanzania zimeonekana kuleta madhara hasa kwa wakazi ambao wanaishi kwenye makazi yenye mkondo wa maji,moja kati ya…
Hii ni kuhusu Wachina waliyojenga viwanda sehemu za Makazi Tanzania.
Kuna taarifa zinazowahusu Raia wa nchi ya China wanapokua Tanzania baadhi yao huonekana wakiwa wanaishi kwenye makazi ya kawaida huamua kutengeneza viwanda vyao,kitu ambacho kimeonekana kuwa kero kwa raia wanaoishi…