Takwimu za mchezo wa ushindi wa 1-0 kati ya Yanga dhidi ya Al Ahly
ACHANA na pointi tatu ilizopata Yanga juzi Jumamosi dhidi ya Al Ahly ya Misri katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Timu hiyo pia imewapiku wapinzani wao kwa kufanikiwa kupiga…
Huu ndiyo wimbo uliyoimbwa na wasanii wa Tanzania kuhamasisha kutambuliwa kwenye katiba mpya.
Huu ni wimbo ulioimbwa na wasanii mbalimbali wa muziki wa Hip Hop kwa Tanzania,maalum kama sehemu ya harakati za kupigania kutambuliwa kwenye katiba ya nchi kama mojawapo ya kundi muhimu…
Taarifa ya kuzuiliwa kwa mashabiki kwenye mchezo wa Yanga vs Al Ahly Cairo
Mchezo wa marudiano wa michuano ya CAF Champions League baina ya klabu bingwa ya Tanzania bara Dar Young Africans dhidi ya mabingwa watetezi wa kombe hilo Al Ahly ya Misri…
Hii ni kuhusu Lord Eyez tena.
Mwaka jana ni mwaka ambao memba wa kundi la Weusi ambaye aliwahi kuwepo Nako 2 nako Lord Eyez,kuhusu kuhusishwa na wizi wa mali za msanii mwenzake Ommy Dimpoz,sasa hii imetokea…
Tambwe atimiza mabao 19, karibia kuivunja rekodi ya mshambuliaji wa Yanga
Mshambuliaji, Amissi Tambwe, wa Simba amefikisha mabao 19 katika Ligi Kuu Bara baada ya jana Jumapili kuiwezesha timu yake kushinda mabao 3-2 dhidi ya Ruvu Shooting. Katika mchezo dhidi ya…
Mashabiki wa England wafanya jambo hili kumzuia Cleverley kuichezea timu hiyo
Jumla saini 6,000 za mashabiki wa soka nchini England zimekusanywa katika ombi maalum la kumtaka na Chama cha soka cha nch hiyo FA pamoja na kocha Roy Hodgson kutomuita kiungo…
Hapa kuna listi nzima ya washindi wa Oscar Awards 2014
BEST PICTURE 12 Years a Slave - WINNER BEST ACTOR IN A LEADING ROLE: Matthew McConaughey - Dallas Buyers Club - WINNER BEST ACTRESS IN A LEADING ROLE: Cate Blanchett…
Na hivi ndiyo red carpet ya Oscar awards 2014 ilivyokuwa.
Tukio la utoaji wa tuzo zenye heshima kwenye movie industry limefanyika weekend iliyopita huko Marekani. Zaidi ya nani kashinda tuzo gani kitu kingine kinachofatiliwa ni fulani alivaaje. Hivi ndivyo jinsi…
Alichopost rapper The Game kuhusu mapenzi yake kwa Manchester United
Rapper wa kimarekani Jayceon Terrell Taylor aka The Game ambaye kwa sasa yupo barani ulaya kwa ajili ya Tour yake aliyoipa jina la BloodMoney, jana alikuwa jijini Manchester na alitumia nafasi…
Alichosema mdogo wake Toni Kroos kuhusu kaka yake kujiunga na Man United
Wakati tetesi za usajili wa Toni Kroos kutakiwa na Manchester United zikizdi kupamba moto, Felix Kroos, mwanasoka anayekipiga katika klabu ya Werder Bremen, amesema kwamba ndugu yake, ambaye ni kiungo wa Bayern…