Ujumbe wa Ray C kwenda kwa watumiaji wa dawa za kulevya.
Ray C Miongoni mwa mastar wa Bongo ambao waliingia kwenye matumizi ya dawa za kulevya ingawa baadae alikuja kuacha baada ya kuanza kutumia dozi rasmi ya kuacha matumizi ya dawa…
Hii ndio rekodi nyingine aliyoiweka Amissi Tambwe wa Simba
MSHAMBULIAJI wa Simba raia wa Burundi, Amissi Tambwe ameweka rekodi ya pekee ya kwanza baada ya kufunga mabao 17 sawa na namba ya jezi anayoitumia tangu atue kuichezea timu hiyo.…
Alichosema Okwi baada ya kuanza kuichezea Yanga
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Emmanuel Okwi, amefurahi kuanza na bao kwenye mechi yake ya kwanza ya Ligi Kuu Bara akiwa na timu hiyo huku straika, Didier Kavumbagu, akipagawa na makali ya…
Hii hapa Video ya Msambinungwa ya Tunda Man.
Baada ya kuzinduliwa Club Billcanaz February 23 sasa millardayo.com inakupa nafasi ya kuiangalia video hii mpya toka kwa member wa Tip Top Connection Tunda man kuhusu Location zilizotumika kwenye video…
Sikiliza Magazeti ya leo yakisomwa Redioni.
Kwa sasa naomba nikuunganishe moja kwa moja na Mgazeti ya leo yakiwa yanasomwa redioni kupitia kwenye kisehemu cha Kuperuzi na Kudadisi,yanachambuliwa na PJ ndani ya Power Breakfast. Sikiliza kupitia 104.4…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo February 25 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Na hizi ndiyo sifa za simu mpya Samsung Galaxy S5
Biashara ya smartphone ni kubwa sana hivi sasa na karibia kila mwaka makampuni makubwa huwa yanakuja na simu mpya zenye ubora zaidi. Samsung galaxy S5 ambayo inategemewa kuanza kuuzwa April…
Hivi ndivyo video ya ‘My number one remix’ ilivyorekodiwa huko Nigeria
Baadaa ya kutoka kwa video ya 'my number one remix' mwezi mmoja uliopita, hii ni time ya fans wa Diamond kupata nafasi ya kutazama jinsi video hii ilivyokua ikitengenezwa huko…
Msikilize Mbwiga leo February 24.
Kama kawaida ya Mbwiga wa Mbwiguke kila Juma tatu mpaka Ijumaa unapata nafasi ya kumsikiliza akikupa udambwi dambwi wake kuhusu soka la Tanzania,Sikiliza kupitia 87.8 Clouds Fm Mbeya. Bonyeza play…
Kuhusu mwigizaji Kajala kunywa kitu chenye sumu.
Kajala ni miongoni mwa waigizaji wa Tanzania ambao wamekua wakimiliki headlines mara kwa mara nchini Tanzania.