Magazeti ya leo February 22 2014 na stori kubwa za Udaku, Michezo na Hardnews
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Interview ya Wayne Rooney baada ya kusaini mkataba
Kwenye zile stori kubwa za soka la dunia kwa sasa ni pamoja na hii ya Wyne Rooney kusaini mkataba mpya wa kuendelea kubaki Manchester United kwa miaka minne ijayo.
Ifahamu idadi kamili ya maaskari watakaolinda usalama katika kombe la dunia Brazil
Brazil imetangaza kwamba wameongeza maafisa wa kulinda usalama 70,000 zaidi watakao toa huduma za usalama katika fainali za Kombe la Dunia mwaka huu. Idadi hii iliyoongezwa ni katika jitihada za…
Ratiba ya mechi zote za ligi kuu ya Tanzania bara wikiendi hii, hii hapa
Ligi kuu ya Vodacom inaingia mzunguko wa 19 jumamosi hii kwa mechi tano, zitakazochezwa katika miji ya Dar es Salaam, Bukoba, Morogoro, Tanga na Arusha. Mabingwa watetezi Yanga watakuwa nyumbani…
Wayne Rooney asaini mkataba wa kubaki na Manchester united hadi 2019
Wapenzi wa Manchester united hii itakuwa habari ya nzuri kwao kwasababu mtu muhimu kwenye kikosi chao amesaini mkataba wa kuendelea kuichezea timu hiyo kwa muda mrefu zaidi. Rooney amesaini mkataba…
Hiki ni kitu kingine kinachokuja kutoka kwa Ray C.
Anaitwa Rehema Chalamila kwenye stage ya muziki tunamjua kama Ray C. Kitu kikubwa kinachosubiriwa kutoka kwake hivi sasa kazi zake mpya kwenye muziki baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.…
Kuhusu matokeo Kidato cha nne 2013,kuyaona na taarifa zake zipo hapa.
Baraza la Taifa la Mitihani (NECTA) leo February 21 limetangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha Nne kwa mwaka 2013 na kuainisha kuwepo kwa wanafunzi wengi waliopata daraja Sifuri ambao…
Umesikia idadi ya Tembo waliobakia Mbuga ya Seluu?ipo hapa.
Meno ya tembo bado ni ishu kubwa na stori zake bado zinazidi kumiliki headlines kutokana na ukweli kuhusu wanyama hawa wanavyoshambuliwa na majangili mbalimbali,February 20 Meneja uhusiano wa hifadhi ya…
Kevin Hart anahusika kwenye movie za wiki hii, cheki ratiba nzima hapa.
About last night movie ambayo inamuhusisha mchekeshaji maarufu hivi sasa Kevin Hart itaanza kuonyeshwa kwenye theater zote za hapa Tanzania. Ratiba yote ya movie zitakazoonyeshwa kuanzia February 21 hadi February…
Umekisikia Kilichomtokea Mkono wa Mkunule,sikiliza You heard ya leo.
Hii ni kutoka 92.9 Iringa ambapo Soud Brown ana-amplify taarifa za mmoja kati ya waigizaji wa Comed Tanzania,Huyu ni Mkono wa Mkonule ambaye umaarufu wake ulianza kuchukua kasi baada ya…