Baada ya video za Jux na Snura, hii ndiyo video nyingine ya Bongo iliyofungiwa.
Mwanzoni mwa mwaka 2014 kumeripotiwa video kadhaa za Tanzania kufungiwa huku sababu kubwa ikiwa haijatajwa moja kwa moja,miongoni mwa watu waliofungiwa video zao ni pamoja na Jux 'Uzuri wako' na…
Picha 6 zinazomuonyesha Diamond alichoenda kufanya South Africa.
Siku chache kupitia mitandao ya kijamii mbalimbali kama Instagram,Facebook na Twitter,Diamond Platnumz amekua akipost picha nyingi akiwaAfrika kusini na wasanii mbalimbali akiwemo Dbanji. Maswali yalikuwa mengi kichwani na mara nyingi…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redion leo February 20.
Hizi ni dakika 14 za kusikiliza kilichoandikwa kwenye kurasa mbalimbali za Magazeti ya leo February 20,ambayo yanachambuliwa na kusomwa na PJ kupitia Poer Breakfast ya Clouds Fm. Sikiliza kupitia 88.5…
Magazeti ya leo February 20 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Msikilize Mbwiga leo February 19.
Kawaida ya millardayo.com unapoingia hapa unapata nafasi ya kusikiliza vitu ambavyo pengine ulikosa muda kutokana na majukumu ya kitaifa hivyo hukusikiliza,sasa sikiliza Udambwi dambwi wa Mbwiga wa Mbwiguke leo February…
Pichaz za wasanii wakiwa ‘Mjengoni’ kwenye Bunge la Katiba.
Bunge la Katiba bado linaendelea 104.4 Dodoma na miongoni mwa watu waliopata fursa ya kuwepo kwenye bunge hili ni wasanii wa Tanzania ambapo jumla ya wasanii 12 wakiwa pamoja na…
Hili ndilo Lori lililolipuka Jioni ya February 19 Singida.
Taarifa kutoka mkoani Singida zinasema kuwa Lori la mafuta limeanguka jioni ya February 19 katika eneo la milima ya sekenke na kuua watu wanne hapohapo. Chanzo cha ajali hiyo ni…
Bunge la katiba limesimama kwa zaidi ya dakika 30 leo,sababu ipo hapa.
Kutoka makao makuu ya nchi 104.4 Dodoma leo February 19 unaambiwa baadhi ya wajumbe wamegoma kuendelea na mjadala huo baada ya baadhi yao kukosa nakala ya rasimu ya kanuni za…
Alichokijibu Chalz Baba kuhusu kuhamia ukweni,sikiliza kupitia You heard ya leo.
Soud Brown kupitia You heard ya leo ana-amplify taarifa zinazomhusu Chalz Baba kuhusu kuhamia nyumbani kwa wazazi wa mkewe{Ukweni}..Sikiliza kupitia 88.5 Clouds Fm D'salaam. Bonyeza play kusikiliza.
Hii ndio rekodi mpya ya kuvutia aliyoiweka mbrazil Rivaldo
Mshindi wa kombe la dunia na mchezaji bora wa dunia wa zamani mbrazil Rivaldo ametengeneza historia mpya katika soka. Mshambuliaji wa zamani wa FC Barcelona ameweka historia ya kucheza pamoja…