Magazetini leo February 19 2014 na stori za Udaku, Michezo na Hardnews
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Kazi ya bunge la katiba imeanza, haya ni ya mwanzo tu
Hatimaye Wajumbe wa Bunge maalum la katiba wameanza vikao vyao February 18 2014 kwa kuelezwa majukumu yao katika kipindi chote watakachoketi kuipitia rasimu ya pili ya katiba mpya ambayo baadae…
Baada ya headlines za Lil Kim kuwa mjamzito, mtoto atakaezaliwa amefahamika.
Baada ya stori ya Lil Kim ambae ni rapper mkongwe wa Marekani kuonekana mjamzito, boyfriend wake ambae pia ni rapper Mr. Papers kwenye interview ya hii ishu, amesema wawili hao…
Matokeo ya Manchester City vs Barcelona Feb18 na video ya magoli yote
Kwenye zile game za UEFA ambazo zitaingia kwenye rekodi ya kutazamwa na mamilioni mwaka 2014 na hii imo ambapo Manchester City wamefungwa goli mbili zote kwenye kipindi cha pili.
Msikilize Mbwiga leo February 18.
Udambwi dambwi wa Mbwiga leo unaelekezea kwenye mechi iliyochezwa Zanzibar ambayo ilihusisha timu ya Yanga na Malindi na ndani mechi ilimalizika kwa ushindi wa Yanga kwa goli 3 kuna kioja…
Baada ya wakina Mbwana Samatta,hawa ndiyo wanafuata nyayo zao.
Watu wengi hasa wadau wa michezo wanakua wakiwaangalia sana wachezaji waliotoka Bongo kwenda nje ya nchi kucheza soka la kulipwa na miongoni mwao ni Mbwana Samatta ambaye kwa mshahara wake…
Kuhusu suala la Okwi TFF tayari waanza kulaumiana.
Okwi ni Miongoni mwa wachezaji walionekana kuzongwa na maelezo mengi ikiwa ni pamoja na kusimamishiwa uhamisho wake mara baada ya kujiunga na club ya Yanga sasa Shirikisho la Mpira wa…
Inasemekana Mr.blue kakimbia na nguo Tanga,sikiliza kupitia You heard ya leo.
Hii imetoka 96.0 Tanga ambapo taarifa inasema Mr blue 'Kabaisa' alikuwa ana show huko siku chache zilizopita wakati anajiweka sawa kwenda kwenye show alienda kuazima nguo ambazo hakuzirudisha mpaka anaondoka…
Sehemu ya pili ya Hekaheka iliyoanza February 17.
Hii ilianza jana February 17 ni kuhusu dada aliyempiga mpaka kumuua mdogo wake wa damu,majirani wamezidi kutoa ushuhuda wao wanachokifahamu zaidi na vingine vinashanza ambapo taarifa imetoka kuwa alipigwa na…
Pata takwimu za mchezo baina ya Bayer 04 Leverkusen vs PSG
Bayer 04 Leverkusen v Paris Saint-Germain • Paris Saint Germain wana rekodi ya kufunga mabao 16 katika hatua ya makundi, safu yao ya ushambuliaji inatisha, lakini historia haipo upande wao…