Hili ndio jambo kubwa atakalofanya Rooney wikii hii na klabu yake
Sakata la kusaini mkataba mpya kwa mshambuliaji Wayne Rooney katika klabu ya Manchester United linaweza kufikia mwisho wiki baada ya mshambuliaji huyo kukubaliana na dili jipya alilopewa na mabingwa wa…
Tuzo za KILI 2014 zimezinduliwa leo, haya ndio mabadiliko yaliyofanywa.
Ni time ya kufahamu kuhusu tuzo ambazo hutolewa kwa Wanamuziki/Wasanii mbalimbali wa Tanzania zikiwa zimeanzishwa mwaka 1999 ambapo za mwaka huu 2014 zimezinduliwa leo February 17. George Kavishe kutoka TBL…
Uko busy au mbali na Radio? sikiliza magazeti yakisomwa Redioni hapa
Kupitia millardayo.com hii ni nafasi nyingine kwako ulie busy au mbali na radio, tunakuwezesha kusikiliza kwa muda wako magazeti yakisomwa Redioni Clouds FM, sehemu ya kwanza ya magazeti hapa huwa…
Kwa wale mliommis Awilo Longomba.
Awilo ni miongoni mwa mastaa wa Congo ambao walichukua headlines zaidi ya miaka 7 iliyopita na hits kama 'Coupe bibamba' na nyingine ila kwenye hii post ya leo kapewa kolabo…
Magazeti ya leo February 17 2014 ya Udaku, Michezo na Hardnews
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Picha 30 za usiku wa A.M Records club Bilicanas usiku wa kuamkia leo.
Picha ya kwanza na baadhi ya nyingine zinazofata ni za Mirror, msanii ambae yuko chini ya kampuni ya mwigizaji Wema Sepetu. Huu ni mwaka wa sita toka kuanzishwa kwa A.M…
Uko mbali na TV? haya ndio matokeo ya Arsenal vs Liverpool feb 16
Ni game iliyokua na mikikimikiki ya maana kwenye hizi timu mbili ambapo alieanza kuona goli la mwenzake ni Arsenal kupitia kwa Chamberlain ndani ya dakika 20 za mwanzo.
Uko mbali na TV? hii ni ya Arsenal vs Liverpool mpaka half time, possession, yellow cards na mengine
Mpaka half time tayari Arsenal inaongoza kwa goli moja ambalo limefungwa kwenye dakika ya 16 na Chamberlain.
Matokeo ya mchezo wa Azam FC vs Ferroviarrio haya hapa
Wawikilishi wa Tanzania katika kombe la shirikisho barana Afrika, Azam FC wameondolewa kwenye michuano baada ya kupoteza mchezo wa marudiano dhidi ya Ferroviarrio. Mchezo huo ulioisha hivi punde huko Msumbiji umeisha…