Yajue hapa mambo yanahusiana na February 11 pamoja na mengine.
Siku kama ya leo miaka 32 iliyopita alizaliwa Kelly Rowland ambaye aliwahi kuja Tanzania na kufika hadi Uwanja wa fisi. Kelly alikuja kwa ajili ya kampeni ya Staying Alive Foundation …
Sio Bongo tu hadi ulaya….. tazama walichofanya wezi kwenye gari la Lewandoski
Usiku wa kuamkia Jumatatu wezi wanaodhaniwa kuwa mashabiki wa klabu ya Borrusia Dortmund wamemfanyia kitu mbaya mshambuliaji wa timu hiyo Robert Lewandoski kwa kuiba matairi yote ya gari linalomilikiwa na…
Picha wakati Cristiano Ronaldo alivyosherehekea siku yake za kuzaliwa
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo jana alifanya sherehe ya kusherehekea siku yake ya kuzaliwa jijini Madrid. Ronaldo ametimiza miaka 29. Ronaldo alifanya sherehe hiyo huku akiwa anatumikia…
Ushaskia hii kutoka kwa A.Y
Producer wake ni Marco Chali kutoka studio za MJ Records, wimbo unaitwa Asante na ndio wa kwanza kutoka kwa A.Y ndani ya mwaka 2014. [soundcloud soundcloudurl="https://soundcloud.com/xxl23/ay-feat-dela-asante" ]
Msikilize Mbwiga leo February 10.
Moja kati ya ratiba za millardayo.com ni kukuweka karibu na baadhi ya vitu ambavyo kwa bahati mbaya huwa unavikosa kusikiliza labda kutokana na kazi au kuwa mbali na Redio,utumie muda…
Baada ya Migomo ya Wafanyabiashara,huyu ndiye kiongozi wao aliyepokea vitisho.
Suala la wafanyabiashara wa Tanzania bado limeonekana ni zito kuhusu madai yao kwa Serikali ya Tanzania juu ya mashine za Efd kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania,kupitia kipaza sauti cha millardayo.com…
Hii ndiyo hali halisi ya Soko la Kariakoo leo February 10.
Inawezekana Wafanyabiashara wa Tanzania wameamua kuzigomea kabisa hizi mashine za Tra ambazo wanadai bado zina mgogoro mkubwa kwenye biashara yao na leo wafanyabiasha hao wameamuakutofungua tena maduka yao,Ukipita Kariakoo utaona…
Umesikia kuhusu mke anayesemekana kumloga mume wake,sikiliza kupitia Hekaheka ya leo.
Mitaa inakua na vingi vya kuongea hasa linapokuja suala la Hekaheka,sikiliza namna ndugu upande wa mume unavyomchukulia Mke wa kaka yao kuwa mchawi,mengi yamezungumzwa zitumie hizi dakika 14 kumsikiliza,sikiliza kupitia…
Hiki ndicho kinachoendelea kwa Diva na Crazy Gk,sikiliza kupitia You heard ya leo.
Hizi ni story za mastar mbalimbali ambazo zinakua ni Gosip,hii ya leo inawahusu King Crazy Gk toka East Coast Team na Diva sikiliza ni kitu gani kinawahusu kupitia 88.1 Clouds…
Mabibi na mabwana, ninayofuraha kuwakutanisha na picha za vituo vya mabasi Dubai vyenye AC
Dubai ni sehemu ambayo hata nchi nyingi kubwa duniani zinaipa salute... ni sehemu ambayo imejengwa kwenye miaka ya karibuni hivyo kufanya vitu vyake vingi kuwa vya kisasa na vyenye ubunifu…