Kuhusu kupigana kwa wachezaji wa Yanga Cannavaro na Niyonzima – Yanga wakanusha
Benchi la Ufundi la klabu ya Young Africans limesikitishwa na taarifa zilizoenea kwenye baadhi ya vyombo vya habari kwamba wachezaji wa Young Africans kiungo Haruna Niyonzima na nahodha Nadir Haroub…
Ukamilifu wa story ya yule jamaa aliyekua tayari kumuua hata mama yake kwa ajili ya mali huu hapa,kupitia Hekaheka ya leo.
Huu ni muendelezo wa Hekaheka iliyoanza jana January 30,hivyo kama uliikosa sehemu ya kwanza,ipo hapa hapa millardayo.com unaweza kuitafuta na kuisikiliza ili umalizie story hii ya kusisimua,sikiliza kupitia 87.9 Clouds…
Javier Hernandez Chicharito atakiwa na vilabu sita, lakini anabaki Man United
Wakala wa mchezaji Javier Hernandez amethibitisha kwamba mshambuliaji huyo anaendelea kubakia Old Trafford pamoja na kutakiwa vilabu sita barani ulaya. Chacharito, 24, amekuwa akihusishwa na suala la kuondoka Manchester United…
Aaron Ramsey nje ya dimba kwa wiki 6
Kiungo wa Arsenal Aaron Ramsey hatoweza kuitumikia klabu ya Arsenal kwa takribani wiki sita, meneja wa klabu hiyo Arsene Wenger amesema. Ramsey ambaye amekuwa fomu nzuri msimu, tayari alishakuwa nje…
Kuhusu mpango wa TFF kutaka kubadili jina la Taifa Stars
Jina la utani la timu ya taifa ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ limeonekana kuwa njiani kuachwa kutumika baada ya raisi wa TFF Jamal Malinzi kusema kwamba wanakaribisha wazo la…
Video mpya ya MBS by Gosby iko hapa. @thisisgosby
BMS (Baby Making Swag). It's a good seductive music that just gets you in the mood especially between them sheets. The type of music that can help a man seduce…
Ulimis kusikiliza magazeti ya leo yakisomwa redioni?sikiliza hapa.
Zitumie dakika hizi kusikiliza uchambuzi wa magazeti Asubuhi ya leo January 31 kupitia kipindi cha Power Breakfast,magazeti haya yanachambuliwa na Paul James'PJ' sikiliza kupitia 88.5 Clouds Fm Masasi. Bonyeza play…
Magazeti ya leo January 31 2014
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Msikilize Mbwiga wa Mbwiguke leo January 30.
Zitumie hizi sekunde chache kumsikiliza Mbwiga wa Mbwiguke leo January 30,aki-amplify taarifa za kimichezo sikiliza kupitia 104.4 Clouds Fm Dodoma. Bonyeza play kusikiliza.
Hili ni ombi toka kwa Mama Sharo Milionea kwenda kwa waandaaji wa Movie za Kitanzania.
Ikiwa ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangu kufariki kwa Sharo Milionea,Mama mzazi wa Marehemu Sharo Milionea amekuja na ombi kwa ajili ya waandaaji wa Movie za kitanzania hapa nchini.…