Mtanzania mwingine aliyewahi kutajwa na Forbes kwenye “20 young power women in Africa”.
Forbes.com wanasema kwamba listi hii ya hawa wanawake ni wenye umri mdogo lakini wanafanya mambo ambayo yanaweza kubadilisha bara la Africa. Kwenye hii list walitajwa wanawake wafanyabiashara maarufu ndani ya…
Rais Kikwete alivyoongoza mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Chalinze Ramadhan Bwanamdogo
Rais Kikwete alivyoongoza mazishi ya aliyekuwa mbunge wa Chalinze Ramadhan Bwanamdogo Rais Jakaya Kikwete akiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Chalinze kwa tiketi ya CCM Ramadhan Bwanamdogo aliyefariki…
Picha 12 za alichokifanya Diamond Kenya.
Diamond Platnumz mwishoni mwa wiki iliyopita alipost picha kadhaa zikimuonyesha akisafiri kuelekea Nairobi Kenya,zikafata picha zingine akiwa katikati ya ardhi hiyo ya President Kenyata 254 kwa picha hizi inaonyesha ni…
Tanzania ina vijiji 19200, unajua ni vingapi havina mawasiliano ya simu mpaka sasa?
Unaambiwa Tanzania kuna vijiji elfu kumi na tisa na mia mbili kwa mujibu wa sensa ya Mwaka 2012 iliyohusisha makazi na watu ambayo pia ilionyesha Watanzania ni milioni 44.9 Sasa…
Stori mpya kuhusu beef ya Rick Ross na Young Jeezy
Najua kwenye headlines za hiphop miongoni mwa stori kubwa za beef ilikua ni hii ya Rick Ross na Young Jeezy lakini kwa sasa beef imeisha. Rick Ross na Young Jeezy…
Huyu mtoto ana miaka miwili tu na ameanza hii akiwa na miezi sita
Siku hizi teknolojia imetuwezesha sana kupata matukio mengi ya aina yake na kwa haraka zaidi ambapo watoto pia wamekua sehemu ya tunavyokutana navyo mtandaoni. Huyu mtoto kutoka Victoria Australia anaitwa…
Magazeti ya leo January 25 2014 ya Udaku, Michezo na Hardnews
Kila siku hapa millardayo.com huwa naweka magazeti ya siku husika, kuanzia udaku michezo na hardnews nikiamini kwamba wakati mwingine unaweza kuwa mbali na yanakopatikana au yakawa yanachelewa kukufikia asubuhi. Lengo…
Walioumizwa kwenye ile ajali ya helicopter Scotland.
Kampuni iliyokua ikioparate helicopter ya Polisi Scotland ambayo imeanguka kwenye baa moja huko Glasgow na kuua watu kumi, imeanza kufanya malipo kwa waathirika na familia zao huku wakisema 'The interim…
Msikilize Mbwiga leo Jan 24
Zitumie hizi dakika 4 kumsikiliza Mbwiga wa Mbwiguke akiwa live studio akiongelea michezo,na kutolea mfano wa timu moja ambayo kwa sasa wameingia Mgogoro na msikilize kupitia 87.9 Clouds Fm Moshi.…
Kama unaishi Dar,si vibaya week end hii ukaitumia kuvuka maji hadi Kigamboni.
Mara nyingi huwa sishangai mtu anapotoka Kinondoni kuelekea labda Tegeta kwa ajili ya kwenda kufurahia wee end yake,na kuna mwingine anatoka labda Gongolamboto anaenda Masaki kuparty sasa jaribu kuitumia week…